Umeshasikia kuhusu 'DEEP WEB'?

Umeshasikia kuhusu 'DEEP WEB'?

Mkuu:
Sina hakika kuhusu Web Hosting lakini si tatizo inawezekana kuwa hosted kama web sites zozote tu nafikiri hapo VPN itahusika.
Lakini Domain Name Servers pamoja na IP address hazina tofauti kwani unatumia facilities hizi hizi za kawaida.

So unajaribu kuniambia VPN ndio imebeba Dark Web. So iliniweze kutumi i must be connected to VPN na mtu ninaehitaji kuwasiliana nae? Hakuna public side ya Dark web unless am using VPNs???
 
So unajaribu kuniambia VPN ndio imebeba Dark Web. So iliniweze kutumi i must be connected to VPN na mtu ninaehitaji kuwasiliana nae? Hakuna public side ya Dark web unless am using VPNs???

Mkuu:
Hapana, VPN haijabeba Web yeyote ni njia tu ya kuweza kufanya mawasiliano kwa usalama zaidi. Na iwapo utatumia njia nyingine yeyote ni rahisi kuonekana, na Browser ya TOR sidhani kama itakubali.
 
Mkuu:
Hapana, VPN haijabeba Web yeyote ni njia tu ya kuweza kufanya mawasiliano kwa usalama zaidi. Na iwapo utatumia njia nyingine yeyote ni rahisi kuonekana, na Browser ya TOR sidhani kama itakubali.

Mkuu naelewa kila kitu kuhusu VPN na TOR mimi nachotaka kujifunza hapa ni jinsi ya kutafuta taarifa kwenye Dark Web. How to find information there.. kama wana google yao nipe Link boss.
 
Mkuu naelewa kila kitu kuhusu VPN na TOR mimi nachotaka kujifunza hapa ni jinsi ya kutafuta taarifa kwenye Dark Web. How to find information there.. kama wana google yao nipe Link boss.

Sawa Mkuu:
Hatua ya mwanzo itakubidi utumie Browser ya TOR na hii unaipata kwa ku-download ni vyema ungetumia ile site inayo ishia na .org na si vinginevyo.
Install lakini kuanzia hapo hide your identity ikiwa ni pamoja na ku-disable Java Script settings.
Disable input devices zote (audio/visual) ibakie keyboard tu.
Anza kufanya Browsing tumia URL uliyo na uhakika nayo usibahatishe. Usiwache webpage muda mrefu huku unafanya shughuli nyingine elewa ya kwamba kwa muda huo hata wewe ni mdukuzi.
Wakati wa kutoka hakikisha vitu vyote ulivyo fungua vimefungwa, ndipo utoke.
Rudi haraka kwenye Browser yako wa awali.
 
Sawa Mkuu:
Hatua ya mwanzo itakubidi utumie Browser ya TOR na hii unaipata kwa ku-download ni vyema ungetumia ile site inayo ishia na .org na si vinginevyo.
Install lakini kuanzia hapo hide your identity ikiwa ni pamoja na ku-disable Java Script settings.
Disable input devices zote (audio/visual) ibakie keyboard tu.
Anza kufanya Browsing tumia URL uliyo na uhakika nayo usibahatishe. Usiwache webpage muda mrefu huku unafanya shughuli nyingine elewa ya kwamba kwa muda huo hata wewe ni mdukuzi.
Wakati wa kutoka hakikisha vitu vyote ulivyo fungua vimefungwa, ndipo utoke.
Rudi haraka kwenye Browser yako wa awali.
Aisee! Kwanini yote hayo? Hizo Java Script settings, Input devices una disable vipi? Ukiziacha tu itakuaje? Elimu zaidi tafadhali Mkuu.
 
kwa wale wapenzi wa Torrent and Movies hizi hapa links zitakazo kuwezesha kutembelea torrents na sites za kustream na ku download movies, documents, games na mengineyo

 
hizi hapa FORUM sites mbalimbali ambazo utapata habari na kila kitu unachohitaji kutoka Dark Web
KILA LA KHERI
NB: Kumbuka kutumia VPN na TOR BROWSER kwa usalama zaidi
 
Da habari ni nzuri mno! Ngoja nijipange ili kuifanyia seting simu yangu hizi ndio mambo ya kujifunza!
 
Ukikosea tu jua vyombo vyote vikubwa vya usalama vitakutafuta, pia hao wenyewe hizo links makundi ya kigaidi, ya kimafia na makundi ya kihalifu ya kimataifa wanakuweka kwenye rada zao ( Kitendo cha kutobonyeza herufi sahihi na kwa wakati muafaka kwenye hizo links umejiexpose na subilia matokeo yake..!)
Uhuru unaoutumia kwenye surface Web kwenye dark web hakuna, kama sio mjuzi wa ICT sikushawishi uende huko.
 
Aisee! Kwanini yote hayo? Hizo Java Script settings, Input devices una disable vipi? Ukiziacha tu itakuaje? Elimu zaidi tafadhali Mkuu.


Mkuu:
Umeuliza baadhi ya maswali kama ifuatavyo:---
1. Kwa nini yote hayo
Deep Web ni mtandao wa faragha ambapo baadhi ya watu, taasisi, serikali, wahalifu, watafiti majasusi, biashara halali na haramu ....nk vyote hufanyika huko, ni jukwaa lao la kufanyia  kazi, mawasiliano, makavazi....nk. hivyo yeyote anae ingia huko ni lazima awe na sababu maalum pasi na kuwa mzururaji vinginevyo atahesabika kama mdukuzi na ataadhibiwa kwa namna yeyote ile, hakuna kuaminiana huko

2. Ku Manage Java Script.
Kwa kutumia Google Chrome
Fanya ifuatavyo.
Select “Menu”
Settings “Advanced” “Content settings…” “JavaScript“.Type “chrome://settings/content/javascript

Kwenye address bar, utabonyeza “Enter“Scroll down chagua “Adv” option, chagua “Content settings…” button. Hapo utaamua kuchagua “Allowed” or “Blocked” kulingana na utashi wako.

Optiion nyingine, unaweza au kuzuia kwenye website kwa njia “Manage exceptions…” button na uandike URL ya website unayo ikusudia kwenye “Hostname Pattern” field. Baada ya hapo, set the “Behavior” to “Block” or “Allow“. Unaweza vilevile kwa njia hii ku-block baadhi ya sehemu kwenye hiyo website.

Kuhusu swala je nikiacha Java Script itakuwaje?.
Kiuhalisia Java Script ndio ndio common platform inayotumika kwenye websites kwa hivi sasa.
Kwenye Java Platform ni rahisi sana kushambuliwa na virus mfano rahisi hapo utakuta kuna spams,cookies etc .., kuhusu webcam na mic unaweza kuzibandika cellotape au gundi yeyote kwa muda.
 
Duuuh hizi mambo hizi,kwa nini wao waamue kutengeneza darkweb yaani nini hasa lengo lao? Na serikali kama yetu hii huenda inatumia darkweb?
 
Back
Top Bottom