Kwanini mkuu?kiukweli sishauri watu hasa watanzania kutembelea deep webs jamani sio salama kule....stay away from its guys
mkuu cha kushangaza kule hata screen shot hupigi, duh nimeamini bata hizi simu zetu zinaendeshwa na watu.Usisahau kutuletea mrejesho.
Hah hah hah hah DeepWebmkuu cha kushangaza kule hata screen shot hupigi, duh nimeamini bata hizi simu zetu zinaendeshwa na watu.
Kwani canera tunaziba je? Kufunga jicho la camera ktk hii device yangu ama?
Ninachoogopa zaidi kuthubutu kuingia huko ni hili tisho la kukwaa virus. Hayo mengine ni ya kawaida tu.
Mkuu we ulibakwa?Ukienda huko utabakwa dada angu!![]()
hahaaaNjoo pm unifundishe kuiba kwenye ATM mkuu