Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,220
- 39,851
Kwan vp hawauz grease kule Mkuu!!?kiukweli sishauri watu hasa watanzania kutembelea deep webs jamani sio salama kule....stay away from its guys
Kwan vp hawauz grease kule Mkuu!!?kiukweli sishauri watu hasa watanzania kutembelea deep webs jamani sio salama kule....stay away from its guys
inapatika kwa url ipi?Recently wamedevelop search engine yao
Risk ni kubwa mno, maana unaweza kupakua virus mpaka watu watakao kuwa wanaangalia profile zako wakakuona wa hovyo kabisa.Nataka nifatilie habari tu kwani Nita pata matatizo
Camera ya Lap yangu nilishaiziba kitambo...................!!!!Play store
Play store
Mnataka kwenda huko ?karibuni ,
Nb:ziba camera yako km una peruzi zaidi
Unge screenshot kidogo ukatuwekeaHabar tam sana ila comment zinaogopesha.
Hahaha comments zinaogopesha kwakweliHabar tam sana ila comment zinaogopesha.
Nimefuata link habari haipo
Kwanini unatakiwa kuziba kamera?Camera ya Lap yangu nilishaiziba kitambo...................!!!!
Eeheeè. Wengine hata pa kuzimia camera hatupaoni ngoja niweke nta au mshumaa na karatasi nyeusiPlay store
Play store
Mnataka kwenda huko ?karibuni ,
Nb:ziba camera yako km una peruzi zaidi
Ukienda huko utabakwa dada angu!Nataka nifatilie habari tu kwani Nita pata matatizo



unaposema baadhi ya nyenzo unamaanisha nini mkuu?ulivyovitaja ni nini?Baadhi ya nyenzo: orfox, delvedeep, onion,orbot etc
kule illegal business kubwa zinafayika kama madawa ya kulevya,deal za mauaji viongozi wq serikal,kampuni,waandishi wa habari na kadhalika kwaiyo intelijensia kubwa dunia uwepo kuangalia na kukusanya data..kiufupi kule mkuu ni real deep yaniUnamaanisha nini apa kiongozi
Kwan vp hawauz grease kule Mkuu!!?

kule kila kitu unachotaka unanunua ambavyo uraiani n illegalkwann Sio salama?Kuna virus aukiukweli sishauri watu hasa watanzania kutembelea deep webs jamani sio salama kule....stay away from its guys
Wadukuzi Babaaaaa..............................!!!!Kwanini unatakiwa kuziba kamera?
kabisa mkuu virusi wapo tena wakutoshakwann Sio salama?Kuna virus au