Huu ni UWONGOzinaweza kufunguliwa kwa kutumia kivinjari cha Tor pekee.
Huu ni UWONGOzinaweza kufunguliwa kwa kutumia kivinjari cha Tor pekee.
Matatizo kama yapi?
Nimejaribu kuingia naona cm yangu inapiga picha za ghetto automatic haizim nimeiacha nje kwanza nawaza nikaiweke kwenye maji chakushangaza kila naipeleka nje naikuta ndan jaman plzz msiingie huko


AiseeHapana huko hakufahi kabisa, niliwahi kuingia na kila siku ilikuwa lazima nitembekee web yao, kuna MTU alinionya kuwa niachane na hii web ila nikawa mmbishi. Kuna siku nimeingia kwenye web yao simu ilizima hapo hapo jumla na mpaka Leo ilishindikana kutengeneza IPO ndani ile smartphone ni kopo nikanunua nyingine. NawaOmbeni achana na hiyo dark web kama huna kazi nao

Huo uongo sasaNimejaribu kuingia naona cm yangu inapiga picha za ghetto automatic haizim nimeiacha nje kwanza nawaza nikaiweke kwenye maji chakushangaza kila naipeleka nje naikuta ndan jaman plzz msiingie huko
Kunaogopesha sana, nimeingia usiku saa 10 simu ilizima gafla ndo imewaka saivi...hawa jamaa wanatumia kitu gani? Hata screenshot huwez kupiga,hata kudownload picha!!!!! TZ kumbe bado tupo gizani sana.....Waliofika huko mrejesho please
Sina hamu na huko kabisa hapafai hata nilishaingia huko simu ndani ya siku mbili ikastack yenyewe sasa hv ni mtego wa panya tu ndani watu weng hawaujui ule ulimwengu aisee ni tofauti kabisa Hawa ISS waone hvhv nilichojionea huko ni balaa wanajua kuvuta watu saaanaKunaogopesha sana, nimeingia usiku saa 10 simu ilizima gafla ndo imewaka saivi...hawa jamaa wanatumia kitu gani? Hata screenshot huwez kupiga,hata kudownload picha!!!!! TZ kumbe bado tupo gizani sana.....
Hakika tupo gizani, duu.nilitaka kuigia huko lkn nikaogopa kupigwa picha kwa lazima. Halafu kilichoniogopesha nikwamba ukifika huko uwe na shida, kama utagundulika na hao jamaa kuwa huna kitu cha kufanya huko wanakuchulia kama mpelezi na Kukutumia virus, na kuharibu sim au kopyuta yako.hapo ndo nimeogopaaaKunaogopesha sana, nimeingia usiku saa 10 simu ilizima gafla ndo imewaka saivi...hawa jamaa wanatumia kitu gani? Hata screenshot huwez kupiga,hata kudownload picha!!!!! TZ kumbe bado tupo gizani sana.....

DuSina hamu na huko kabisa hapafai hata nilishaingia huko simu ndani ya siku mbili ikastack yenyewe sasa hv ni mtego wa panya tu ndani watu weng hawaujui ule ulimwengu aisee ni tofauti kabisa Hawa ISS waone hvhv nilichojionea huko ni balaa wanajua kuvuta watu saaana

Nenda tu kuwa Tomaso muda huu kuna jamaa hapa nampa haya maujuzi kajifanya mjanja anasema usiku Leo anajaribu kuingia nikampa onyo kaleta ubishi najua kesho atanitafuta tuSirudi tena huko, simu yangu ingeharibika bure, na sina hela ya kununua ingine![]()
Heheheee.... Mwambie kabisa asikulaumu simu ikizongua!Nenda tu kuwa Tomaso muda huu kuna jamaa hapa nampa haya maujuzi kajifanya mjanja anasema usiku Leo anajaribu kuingia nikampa onyo kaleta ubishi najua kesho atanitafuta tu
Nishamchana teyar awe makin mana hyo simu yake gharama asije akalia tuHeheheee.... Mwambie kabisa asikulaumu simu ikizongua!