Umeshasikia kuhusu 'DEEP WEB'?

Umeshasikia kuhusu 'DEEP WEB'?

Ni rahis kutumia darkweb na ni rahisi kupatwa na tatizo kam hujafuata taratib....

Kutokan na tafiti zilizofanyika, ni 4% ya internet ambayo hutumiwa na jamii yote. Wakat huohuo 96% ya internet ipo darkweb

1: pakua VPN (VIRTUE PRIVATE NETWORK) tumia vpn ya kulipia si ya bure. Vpn itakusaidia kuwa na fake IP address na pia itakusaidia wadukuaji wasitumie identity yako na vitu vilivyo kweny simu au com yako pamoj na picha. Vpn utayotumia iwe inaendana na TOR ( TOR ntaelezea badae)

2: usitumie darkweb kwa kutumia browser za kawaid kwa mf. Google chrome,internet explo, operamini, firefox. BAADA YA KUSET vpn pakua browser inayoitwa TOR, Na unatakiwa ukaipakue kweny tor website. Usipakue sehem nyingin yoyote. Www.torproject.org

3: install TOR BROWSER. hadi hapa utakua umepunguza uwezo wa kujulikana na ulinzi wa kifaa chako

4: anza kutumia TOR browser kwa matumiz ya darkweb

5: usibadilishe size ya TOR browser km unatumia pc. Hii itafanya ujulikan kwa kua utakua na size ya peke ako sabab wte watumiao tor hawabadilish size


6: pia TOR haikufaby wew usijulikane mojmoj kwa 100%, sasa ni lazim ukazime JAVASCRIPT katika tor in setting weka OFF

7: disconnect camera zako au webcam au funika camera zote na tep nyeus. Wadukuaj wanaez kucontrol camera na kujua wew ni nan

8: disconnect spika zote unazotumia au zifunike kwa tep km ulivofany kweny camera. Hata aliyegundua facebook Mark zuckerberg alisahau kufany hvo na anajua hatar ya kilichompata

9: usitumie majin ya ukwel,pich, hata email ako (unapaswa kua na email pekee kwa ajil ya darkweb)

10: usitumie TOR kwa ajili ya jambo lingine isipokua darkweb.,kwa mf. Ukilog in na account yyte itakua rahis kuonekana.

Jahbless
safi sana mkuu! ngj nizame huko sasa
 
swali la msingi.. hivi dark web wana seach engine yao??? au kutafuta taarifa huko ni mpk uwe na url husika??

Mkuu:
Huko hakuna kuzurula hovyo. Unatakiwa uingie mahali husika kwa kutumia url. Ukianza kuzurula utakutana na wenye miji yao na wanauwezo wa kukuletea matatizo.
 
Mkuu:
Huko hakuna kuzurula hovyo. Unatakiwa uingie mahali husika kwa kutumia url. Ukianza kuzurula utakutana na wenye miji yao na wanauwezo wa kukuletea matatizo.
Mkuu nipe url moja ya biashara haramu nifungue nione yaliyomo..
 
swali la msingi.. hivi dark web wana seach engine yao??? au kutafuta taarifa huko ni mpk uwe na url husika??
Kuna site moja wanatoa link ya sehemu husika unayotaka
 
Mkuu nipe url moja ya biashara haramu nifungue nione yaliyomo..

Mkuu:
Ukibahatika kupata url yeyote ya Deep/Dark web basi wewe ni muhusika. Unaweza kupata lakini ku-access kupitia browser ya TOR ni ngumu sana kupata web page. Kuna encryption code/password ili ufanye browsing.
 
pia kuna WALL STREET MARKET nayo ni nzuri baadhi ya links zitakusaidia


hizi hapa ni kwa ajili ya WALL STREET MARKET

Nimejaribu kuzicheck hizo site but wanataka kuregister before kutumia.. na registration wanahitaji email.. sasa nikitoa email yangu sindio mambo ya kuexpose identity yangu yanapo anzia hapo...?
 
Mkuu:
Ukibahatika kupata url yeyote ya Deep/Dark web basi wewe ni muhusika. Unaweza kupata lakini ku-access kupitia browser ya TOR ni ngumu sana kupata web page. Kuna encryption code/password ili ufanye browsing.

Duh basi hiyo Deep web itakuwa inatumiwa na vibwengo tu pekee.... Najiulizaga pia Web Hosting yake inakuwaje?? wanatumia DNS hizi hizi na IP hizi hizi..!??
 
Ni rahis kutumia darkweb na ni rahisi kupatwa na tatizo kam hujafuata taratib....

Kutokan na tafiti zilizofanyika, ni 4% ya internet ambayo hutumiwa na jamii yote. Wakat huohuo 96% ya internet ipo darkweb

1: pakua VPN (VIRTUE PRIVATE NETWORK) tumia vpn ya kulipia si ya bure. Vpn itakusaidia kuwa na fake IP address na pia itakusaidia wadukuaji wasitumie identity yako na vitu vilivyo kweny simu au com yako pamoj na picha. Vpn utayotumia iwe inaendana na TOR ( TOR ntaelezea badae)

2: usitumie darkweb kwa kutumia browser za kawaid kwa mf. Google chrome,internet explo, operamini, firefox. BAADA YA KUSET vpn pakua browser inayoitwa TOR, Na unatakiwa ukaipakue kweny tor website. Usipakue sehem nyingin yoyote. Www.torproject.org

3: install TOR BROWSER. hadi hapa utakua umepunguza uwezo wa kujulikana na ulinzi wa kifaa chako

4: anza kutumia TOR browser kwa matumiz ya darkweb

5: usibadilishe size ya TOR browser km unatumia pc. Hii itafanya ujulikan kwa kua utakua na size ya peke ako sabab wte watumiao tor hawabadilish size


6: pia TOR haikufaby wew usijulikane mojmoj kwa 100%, sasa ni lazim ukazime JAVASCRIPT katika tor in setting weka OFF

7: disconnect camera zako au webcam au funika camera zote na tep nyeus. Wadukuaj wanaez kucontrol camera na kujua wew ni nan

8: disconnect spika zote unazotumia au zifunike kwa tep km ulivofany kweny camera. Hata aliyegundua facebook Mark zuckerberg alisahau kufany hvo na anajua hatar ya kilichompata

9: usitumie majin ya ukwel,pich, hata email ako (unapaswa kua na email pekee kwa ajil ya darkweb)

10: usitumie TOR kwa ajili ya jambo lingine isipokua darkweb.,kwa mf. Ukilog in na account yyte itakua rahis kuonekana.

Jahbless
Duuuh....
Kweli Dark Web
 
Duh basi hiyo Deep web itakuwa inatumiwa na vibwengo tu pekee.... Najiulizaga pia Web Hosting yake inakuwaje?? wanatumia DNS hizi hizi na IP hizi hizi..!??

Mkuu:
Sina hakika kuhusu Web Hosting lakini si tatizo inawezekana kuwa hosted kama web sites zozote tu nafikiri hapo VPN itahusika.
Lakini Domain Name Servers pamoja na IP address hazina tofauti kwani unatumia facilities hizi hizi za kawaida.
 
Back
Top Bottom