Umepiga ‘Kenchi’ kweli, au Umepigwa? Hivi ndivyo Wateja wa Mbao wanavyotapeliwa Mitaani

Sasa hivi Wafanyabiashara wana ushenzi wa kuivisha ndizi kwa umeme, yani unakula ndizi zikiwa zimeiva lakini hazina harufu halisi za kunukia zaidi ya ladha ya uchanga changa sababu zilikuwa hazijaiva kwa wakati isipokuwa zimelazimishwa kuiva kwa umeme kabla ya wakati wake halisi.

Bongo si salama kwa afya za Binadamu kabisa kidunia maana si kwa laana hizi.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Sasa tufanyeje mkuu maana ata madaktari wanasema ule matunda
 
Ndugu usikurupukie usilolijua.

Kuna ndizi zinaivishwa kwa umeme na wachina.
Wapi? Tueleze sehemu moja tu hapa Tanzania wanakoivisha ndizi wachina.

Swali langu la msingi hujalijibu. Umeme unaivishaje ndizi?
 
Uko sawa mm pia nimenunua kwa kijana wa SAOHILL. Bei ndio iyo iyo tu. Nusu lita ya dawa unaweka ndoo 15 za maji.Nimetumia NUSU tu. Dawa iliyo changanywa Baada ya kutumia ikabakia kama DUMU 3 nikaweka kwenye MSINGI wa nyumba kuzungushia kwa ndani ili kuzibiti mchwa. Ninavyo ongea hv hapo kwangu ni HISTORY tu kuhusu mchwa kisha kabisa. Mpk raha
Daaaah halafu umenifumbua macho Ile dawa iliyobaki sikuichukua nami nijaze kwenye madumu nikamwage kwangu. Washenzi wale nahisi walichekelea sana kuiacha dawa
 
kwamba ukinunua mbao, paka oil chafu mwenyewe.
Tena ni dawa nzuri
 
TBS bure kabisa sijui inafaida gani bidhaa fake nyingi mno, tayari malalamiko yametolewa unasubiri vipi hadi mtu aje ofisini kutengo cha malalamiko tena kwanini usifanyie kazi taarifa ulizonazo??? Ikiwa eneo limeshaainishwa
 
Wapi? Tueleze sehemu moja tu hapa Tanzania wanakoivisha ndizi wachina.

Swali langu la msingi hujalijibu. Umeme unaivishaje ndizi?
Tembelea maeneo ya stendi ya mbezi, zinakopaki gari zakwenda goms,, zipo mashine hizo kama incubator lkn ni maalum Kwa ndizi!
 
Kuna wale tulikotoka wanatumia oil chafu nayo husaidia , japo wadudu wa siku hizi nao ni kama wameshtukia
 
Wazee nimerudi kwenye hii mada



Utajuaje kuwa mbao ulizonunua zimepakwa rangi ya ukindu na Wala sio tanalith C
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom