naona umeamua kujitoa mkuuEbu ngoja nikae kwa hapa niendelee kusoma michango ya wazazi....😊
Subiria ukiwa Mzee uombe tu wasipewe sumu na mama zaoWatoto ni ndugu zako
Mtoto hana undugu na baba wala mamaWatoto ni ndugu zako
Elimu nayo magumashi cku hzi, ka kubeti tu. Mtoto anasoma mpk Masters ila output anayoleta inakua nothing...mtoto anaweza kuishia form 4, akiwa mpambanaji, huyo wa Mastaz anamkuta keshasonga sana kimaisha...Mungu ndo anajua. Kikubwa tuwalee kwa uthabitiMalengo yake ni mazuri sana ila urithi wa mtoto ni elimu bora sio zaidi kupeleka mwanao hizi shule za st kayumba ni kwa 80% isipo angalia sana huyu ni potential future bodaboda dereva au konda wa dala dala, nta zaa wengi kadiri ya uwezo wangu wa kuwapa elimu bora na malazi mazuri.
Sio kila mtu lazima awe na watoto tukiwa uncle inatoshahee, why usitake watoto tena? watoto neema ndugu