Umeoa Msukuma?

Umeoa Msukuma?

Nyie hamfahamu tu. Mabinti wa Kiswidi/Scandinavia ndiyo wenyewe.

Weupeeee hadi nyweleeee ahhh hadi kope. Kingozi cheupeeee, Mnyamwezi nimefika. Halafu uzuri hata mahali ya ng'ombe silipi. Sema tu viko sharp sana maana ukikituma dukani, usishangae kwa kipindi cha dakika 15 kikarudi kimeshamgawia mtu uroda.

Ila ndiyo alama kuwa mtoto ni mzuri na kama walivyosema wengine, utamu wa pilipili ni muwasho wake. Haya Wasukuma/Wanyamwezi, safisheni ngozi za wanenu ili mpate mahali ya mang'ombe mengi usukumani. Mwenzenu sikuwahi na sasa ni nimechelewa maana viza ya Scandinavia kwa mtu anaishi Mabonde kwinama, kazi kweli. Ila hata huyu Mnyangala wangu hapa, kwa kweli ni poa sana. Mtoto wa Shilinde family si mchezo ati......
 
sema dada zenu wachonganishi au lah???? ni hilo tu!!!

Binafsi sina dada, ninao mabinamu tu. Ila kwa ujumla wake, suala la wifi kuwa na mdomo au kuwa mchonganishi linategemea na jinsi mwanaume mwenyewe anavyowaendekeza dada zake.
Unakuta mtu anajua kabisa dada yake mwenyewe ni nungayembe au gume gume lililomshinda mtume, ndoa yake haikudumu halafu eti anamwendekeza kwa kumsikiliza! Kwangu hakuna hiyo nafasi!
 
Nyie hamfahamu tu. Mabinti wa Kiswidi ndiyo wenyewe.

Weupeeee hadi nyweleeee ahhh hadi kope. Kingozi cheupeeee, Mnyamwezi nimefika. Halafu uzuri hata mahali ya ng'ombe silipi. Sema tu viko sharp sana maana ukikituma dukani, usishangae kwa kipindi cha dakika 15 kikarudi kimeshamgawia mtu uroda.

Ila ndiyo alama kuwa mtoto ni mzuri na kama walivyosema wengine, utamu wa pilipili ni muwasho wake. Haya Wasukuma/Wanyamwezi, safisheni ngozi za wanenu ili mpate mahali ya mang'ombe mengi usukumani. Mwenzenu sikuwahi na sasa ni nimechelewa maana viza ya Scandinavia kwa mtu anaishi Mabonde kwinama, kazi kweli. Ila hata huyu Mnyangala wangu hapa, kwa kweli ni poa sana. Mtoto wa Shilinde family si mchezo ati......

sasa shem hao ni wa huko sweeden au wapi tena???? sijakusoma
 
asante, kiukweli I do ask myself many qns regarding hao
asnte tena kwa tip mama ushauri


uc pretend ili akuone mzuri ilihali moyoni unahuzinika, utajitesa! ni bora kumpa ukweli heshima ishike mkondo wake, c wana ile dizaini ukipendeza umavaa wax lako bac ni kaka yao, umebadili hiki na kile bac ni kaka yao, sasa wewe ni wajibu wako kuwaonyesha kinyume chake, very cmple na heshima itatawala.
 
Nyie hamfahamu tu. Mabinti wa Kiswidi ndiyo wenyewe.

Weupeeee hadi nyweleeee ahhh hadi kope. Kingozi cheupeeee, Mnyamwezi nimefika. Halafu uzuri hata mahali ya ng'ombe silipi. Sema tu viko sharp sana maana ukikituma dukani, usishangae kwa kipindi cha dakika 15 kikarudi kimeshamgawia mtu uroda.

Ila ndiyo alama kuwa mtoto ni mzuri na kama walivyosema wengine, utamu wa pilipili ni muwasho wake. Haya Wasukuma/Wanyamwezi, safisheni ngozi za wanenu ili mpate mahali ya mang'ombe mengi usukumani. Mwenzenu sikuwahi na sasa ni nimechelewa maana viza ya Scandinavia kwa mtu anaishi Mabonde kwinama, kazi kweli. Ila hata huyu Mnyangala wangu hapa, kwa kweli ni poa sana. Mtoto wa Shilinde family si mchezo ati......

Hilo hapo kwenye red nalo ni kabila ndani ya Tanzania? Liko mkoa gani? Ndio nalisikia leo!
 
Binafsi sina dada, ninao mabinamu tu. Ila kwa ujumla wake, suala la wifi kuwa na mdomo au kuwa mchonganishi linategemea na jinsi mwanaume mwenyewe anavyowaendekeza dada zake.
Unakuta mtu anajua kabisa dada yake mwenyewe ni nungayembe au gume gume lililomshinda mtume, ndoa yake haikudumu halafu eti anamwendekeza kwa kumsikiliza! Kwangu hakuna hiyo nafasi![/QUOTE]

kwenye red, hakika umewiva kwenye lugha duh!!!!! nimekoma mwenyewe.....

kwenye buluu umeweka sumaku....
thanks for this useful post waweja sana!!!
 
km uko siriaz..unataka kujua wasukuma wakoje,nadhani..Kabonde ameongea kila kitu kuhusu wao!..hao wengine mie nadhani wamepamba tu dada zao na wao...LOL!
...wasukuma sio wazuri kihiiivyo,wa kawaida..kwa kweli!..naaamini wanyamwezi,wachaga,wahaya(miguu of course!),na warangi wa Kondoa...wamewaacha mbali sana wasukuma kwa uzuri!!!

wanawake wa kisukuma sio wahangaikaji interms of shule na pesa..i mean..ni watu wa kuridhika saana,hata na kidogo!...moja ya sababu ndoa zao zinadumu!...sababu mwanaume ukiwa una authority..ndani ya nyumba,hawaku-challenge jambo lolote lile...
-wana upendo...
ni wachapa kazi,ukioa msukuma tegemea kukuta nyumba safi,...msosi wa maana...!wanapenda kufanya kazi za nyumbani,kwa nguvu zote na moyo wote...ni role...wanayoipenda kwa kweli.!!!..so yes wadada wa kisukuma...ni 'waolewaji'!

Of course umenena dada wanaume wa kiafrica tunapenda wanawake wenye sifa hizi na kwa jinsi ulivyocomment wewe yaelekea ni wale wale wa kuleee BK ambao ukigusa mke umekwisha...
 
uc pretend ili akuone mzuri ilihali moyoni unahuzinika, utajitesa! ni bora kumpa ukweli heshima ishike mkondo wake, c wana ile dizaini ukipendeza umavaa wax lako bac ni kaka yao, umebadili hiki na kile bac ni kaka yao, sasa wewe ni wajibu wako kuwaonyesha kinyume chake, very cmple na heshima itatawala.

I thank God hiyo 'virture' kwenye red hakunipa.......
watu bana, hata kama ni kaka yao si ni mume wangu lakini???
aaaaah mambo mengine yakipuuzi tu......
 
Mwanaume kufua chupi na shumizi za mke wake vp hao wa Machame wanaweza nimlete dada angu aolewe huko?

in the name of love and only love Fide, haya yanawezekana mbona!!!!!
mie sioni nyie nini kinawafanya mkompliketi mambo hapa!!!
na wee undengereko upunguze sasa aaaah!!!
 
in the name of love and only love Fide, haya yanawezekana mbona!!!!!
mie sioni nyie nini kinawafanya mkompliketi mambo hapa!!!
na wee undengereko upunguze sasa aaaah!!!
Hivi na wewe mamushka unawaamini hawa.Hawa ni mabingwa wa rivasi.Huyu Fidel ndio mfuaji kufuli namba moja japokuwa bado hajaoa.2012 ndo sijui itakuwaje,atakuwa anaogesha kabisaaaaaaaaaa.
 
kwa kifupi wasukuma ni wazuri, kitabia ila inategemea sasa na mtu mwenyewe unataka mke yupi.

kuna makabila wanakompiket kweli.
 
kwa kifupi wasukuma ni wazuri, kitabia ila inategemea sasa na mtu mwenyewe unataka mke yupi..

Mwaveja sana mm nitaoa msukuma niliye nae anashingo ya twiga ameumbika kiunoni amegawika mweusi mwenye kung'aa akitabasamu balaaa, mpole hana malingo mnyenyekevu mwenye kujua wajibu wake kwa mwanaume hana majivuno sio mbishi msikivu mnyenyekevu hapendi majungu ananywele za asili hatumii mikologo wala mapooda yeye ni mcheshi hatumii sana kilevi lakini ananikubali ingawa mm nakunywa walahi bht nitakutambulisha umwone mchumba angu hivi sasa ananisubili twende lunch.
 
Hivi na wewe mamushka unawaamini hawa.Hawa ni mabingwa wa rivasi.Huyu Fidel ndio mfuaji kufuli namba moja japokuwa bado hajaoa.2012 ndo sijui itakuwaje,atakuwa anaogesha kabisaaaaaaaaaa.

icon10.gif
Honestly, kuogesha raha sana!
icon10.gif
 
Hivi na wewe mamushka unawaamini hawa.Hawa ni mabingwa wa rivasi.Huyu Fidel ndio mfuaji kufuli namba moja japokuwa bado hajaoa.2012 ndo sijui itakuwaje,atakuwa anaogesha kabisaaaaaaaaaa.
na kweli......
hahaaa umewaweza
 
na wee undengereko upunguze sasa aaaah!!!

Nyie wakidhungu hatuwawezi bana bora nife na Msukuma wangu kwangu ameoza.
Hasikii la kuambiwa eti ooh fidel anatumia mtandao hatari yeye hajari amefunga maskio kwangu hapa amefika anapewa kila kitu anacho taka haniambii nimfulie chupi wala shumizi anatambua kuwa huo ni wajibu wake kama mwanamke subilini harusi 2012 karibuni nyote.
 
Nyie wakidhungu hatuwawezi bana bora nife na Msukuma wangu kwangu ameoza.
Hasikii la kuambiwa eti ooh fidel anatumia mtandao hatari yeye hajari amefunga maskio kwangu hapa amefika anapewa kila kitu anacho taka haniambii nimfulie chupi wala shumizi anatambua kuwa huo ni wajibu wake kama mwanamke subilini harusi 2012 karibuni nyote.

ujue karibu -ntademand maelezo ya kina hapo
hahaaaaaa we haya weeee!!!
 
Back
Top Bottom