Umeoa Msukuma?

Umeoa Msukuma?

ckufichi mdogo wangu, hawa kaka zangu hapana! yeye ataleta matumizi ndani lakini ucmwambie naomba unisidie kumnywesha katarina uji, hilo halipo kwake, kaweka miguu juu ana watch tv hawezi fanya hivyo, muulize chriss kama alishawahi hata kumbadili mtoto pampers.

Hebu tudhibitishie Chriss.
 
hao mie nawaitaga funga kazi, mweh hapana!...bht,charity wanaumne wa kimachame ni wazuri mno pia, wanajua kupenda/wanapendeka,tabu kwa hao mtakaowaita wifi...uwiiii, labda umkute kazaliwa mwenyewe...lol

wanaume wa kimachame nawapa sana credit jamani wala sio siri

ila hao wapalestina hapo kwenye buluuu.....yeomiiiii!!!! mmmh hatari tupu!!!!
BTW mwenzenu huwa natatizwa sana na suala zima la mawifi......nimefikia point nahisi ntakuwa nawaogopa dada wa mume wangu.......(stori huwa zinanitisha)
 
asa luv, kama ameleta matumizi ndani, kubadili pampers linabaki kwa mtu binafsi zaidi, kikubwa je wanaume wa kichagga ni wan aume suruali au la? I mean wanajua kuitafuta shilingi au sio

sasa wengine ndo ivo wao kama mchezo wetu wa kukimbiza sumni hawauwezi inabidi wacompansate kwa kujifanya ooh mara wanapika sijui nn,,

hivi ni kabila lipi lenye wanaume most successful in this country in all aspects?


cjasema hivyo luv, kaka zangu ni wachakarikaji sana tena sana nawa salute kwa hilo, kwani luv ukishaniletea matumizi ndani ndio mchezo umeishia hapo?btw cku hizi makabila mengi yanajitahidi sana kwenye uchakarikaji wa kutafuta sumni, kama kuna alielala acamshwe.....
 
Jamani nilikuwa na Msukuma wangu faragha kidogo kumbe nae huwa anachungulia sana hapa lol kanipa zawadi ya ushindi
 
ni kweli, ila nachelea kusema kwamba, najitahidi kufuatilia asili yangu na kujifunza kuongea lugha ya asili ya kwetu. Sitaki kubobea kwenye uzungu sana! Ndio maana hata kwenye bara la ulaya kila nchi inaongea lugha yake. Yale ni makabila. Kijerumani, kiingereza, kispaniola, kiitaliano na kadhalika. Hawafagilii lugha ya mtu mwingine kama sisi!

Tuzipende lugha zetu za asili jamani, ni mojawapo kati ya hazina kubwa sana tulizobakiza katika utamaduni wetu unaotutofautisha watanzania na mataifa mengine! I mean, our identity!

Leo nimeamka ki - mfia nchi zaidi! 🙂

hun lolote mfia nchi dot com tu wewe......
 
Jamani nilikuwa na Msukuma wangu faragha kidogo kumbe nae huwa anachungulia sana hapa lol kanipa zawadi ya ushindi

Ipi hiyo kakununulia kasimu cha tigo????
 
nsukuma original hasemi "mi sukuma original" na hasemi "wawezya"...labda wewe nsukuma wa kichina

Hahahaha komredi Yo Yo aliniambia nae ni Msukuma original nilivyo mcheck lafudhi yake nikajua msukuma wa kichina huyu sio wa Magansu.
 
Ni kweli, ila nachelea kusema kwamba, najitahidi kufuatilia asili yangu na kujifunza kuongea lugha ya asili ya kwetu. Sitaki kubobea kwenye uzungu sana! Ndio maana hata kwenye bara la Ulaya kila nchi inaongea lugha yake. Yale ni makabila. Kijerumani, Kiingereza, Kispaniola, Kiitaliano na kadhalika. Hawafagilii lugha ya mtu mwingine kama sisi!

Tuzipende lugha zetu za asili jamani, ni mojawapo kati ya hazina kubwa sana tulizobakiza katika utamaduni wetu unaotutofautisha Watanzania na mataifa mengine! I mean, our identity!

Leo nimeamka ki - mfia nchi zaidi! 🙂

Kijana mfianchi unaweza kuwa na mawzo mazuri lakini nasikitika ushachelewa mno.Toka wale jamaa watutawale basi walishatuachia na desturi zao.Nina uhakika hata wewe jina lako la kwanza ni la kingreza.Kurudisha utamaduni wa zamani mie naona ni ndoto za alinacha kwa sasa.
 
wanaume wa kimachame nawapa sana credit jamani wala sio siri

ila hao wapalestina hapo kwenye buluuu.....yeomiiiii!!!! mmmh hatari tupu!!!!
BTW mwenzenu huwa natatizwa sana na suala zima la mawifi......nimefikia point nahisi ntakuwa nawaogopa dada wa mume wangu.......(stori huwa zinanitisha)

Hilo la mawifi linahitaji thread inayojitegemea............!!!! 🙂
 
cjasema hivyo luv, kaka zangu ni wachakarikaji sana tena sana nawa salute kwa hilo, kwani luv ukishaniletea matumizi ndani ndio mchezo umeishia hapo?btw cku hizi makabila mengi yanajitahidi sana kwenye uchakarikaji wa kutafuta sumni, kama kuna alielala acamshwe.....

Itakusaidia nini ujaziwe mijihela na vijisenti ndani afu isiwepo ile Tenderness,malavidavi,makuchikuchi hotai & ma-care?. si ndo mwanzo wa viserengeti jamni(God forbid)?
 
yeye ataleta matumizi ndani lakini ucmwambie naomba unisidie kumnywesha katarina uji, hilo halipo kwake, kaweka miguu juu ana watch tv hawezi fanya hivyo, muulize chriss kama alishawahi hata kumbadili mtoto pampers.

Hii ilikuwepo kwenye mada ya jana nilikushtua weeeeeeee uje uwaambie wenzio ukauchubua, baeleze bana
 
wanaume wa kimachame nawapa sana credit jamani wala sio siri

ila hao wapalestina hapo kwenye buluuu.....yeomiiiii!!!! mmmh hatari tupu!!!!
BTW mwenzenu huwa natatizwa sana na suala zima la mawifi......nimefikia point nahisi ntakuwa nawaogopa dada wa mume wangu.......(stori huwa zinanitisha)


hawatakiwi kuogopwa hao,unampa kitu blank, ni heshima ishike mkondo wake, ni mawifi wachache mno mno ni wema, ucmfanye shoga yako hata cku moja, cjui blah blah, ajue mpangilio wako wa maisha,uwe na distance nae, kikazi zaidi!
 
Kijana mfianchi unaweza kuwa na mawzo mazuri lakini nasikitika ushachelewa mno.Toka wale jamaa watutawale basi walishatuachia na desturi zao.Nina uhakika hata wewe jina lako la kwanza ni la kingreza.Kurudisha utamaduni wa zamani mie naona ni ndoto za alinacha kwa sasa.

Usikate tamaa mapema kiasi hicho, tuungane pamoja kwenye kuifia hii nchi jamani! Hata utamaduni wetu tu tunashindwa kuufia? 🙂
 
hawatakiwi kuogopwa hao,unampa kitu blank, ni heshima ishike mkondo wake, ni mawifi wachache mno mno ni wema, ucmfanye shoga yako hata cku moja, cjui blah blah, ajue mpangilio wako wa maisha,uwe na distance nae, kikazi zaidi!

asante, kiukweli I do ask myself many qns regarding hao
asnte tena kwa tip mama ushauri
 
Back
Top Bottom