Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,329
- 17,855
nasubiri bullets.....
any wise pal wont pull the trigger for THAT purpose.....
nasubiri bullets.....
Hii itakuwa ni methali mpya kabisa.afu haiapply cku hizi. Hata kwenye bustani ya edeni hili uwa waridi-miiba halikuwepo.hahaha wanasema ukipenda waridi, usiogope mmiiba😀
Hii itakuwa ni methali mpya kabisa.afu haiapply cku hizi. Hata kwenye bustani ya edeni hili uwa waridi-miiba halikuwepo.
thats wa ukweli mwenyewe kasema.....any wise pal wont pull the trigger for THAT purpose.....
Nadhani maua rose,kitenge,ua jekundu na lilyflower ndio yalikuwepo.na lile tunda nahisi litakuwa ni ndizi( aka banan)hahahah..shemeji..ila lilikuwepo lipi? lile la kati alilochukua mwanamke, akampa Adam naye akala wakajikuta wapo uchi? LOL
Kama Wamakonde na Wachaga, oeni dada zetu kwa kweli hamtajuta. Wapare siwataki sana maana Watatumia ukarimu wa dada zetu na kuwatesa kwa Upare wao (ubahili). Wagogo pia si sana maana watawalisha wa Mhumba (ugali wa pumba). Jamaa zangu Wahaya, no comment. Wafipa si sana maana tutaanza kuchuana nani mchawi zaidi na mtalishtukia limbwata (nsamba) la dada yetu. Watu wa pwani mtamuolea wake wengi wengi........
Halafu utegeee huyu binti eti asiwe mwaminifu kwa mumewe?
Kwanza kakuzwa kwenye maadili ya hali ya juu. Kuchapa kazi mwenyewe unaona wazi kabisa ni mtoto wa kwazi haswaa. Sanasana akipata mume mnyanyasaji ndiyo inakuwa kilio na kusaga meno ila kataendelea kuwepo.
Julius, unakumbuka wimbo wa "yuyo yuyo wazwa mbili, sanga wakula...." teteteteeeee!!!!!!!
![]()
Kama Wamakonde na Wachaga, oeni dada zetu kwa kweli hamtajuta. Wapare siwataki sana maana Watatumia ukarimu wa dada zetu na kuwatesa kwa Upare wao (ubahili). Wagogo pia si sana maana watawalisha wa Mhumba (ugali wa pumba). Jamaa zangu Wahaya, no comment. Wafipa si sana maana tutaanza kuchuana nani mchawi zaidi na mtalishtukia limbwata (nsamba) la dada yetu. Watu wa pwani mtamuolea wake wengi wengi........
Teteteteeee, kaka yangu kaowa Mrutu Family..... Shemeji zangu hawa.Usiwaponde Wapare maana nao dada zao ni wazuri sana!
Of course umenena dada wanaume wa kiafrica tunapenda wanawake wenye sifa hizi na kwa jinsi ulivyocomment wewe yaelekea ni wale wale wa kuleee BK ambao ukigusa mke umekwisha...
PJ naona unafanya research kuna ndugu yako anatafuta mchumba??
Kwanza ni wazuri kwelikweli. Wana maadili mema. Wanatambua nini maana ya ndoa na wanajua ku play roles zao. Sio wambea. Wanajua kupika. Wana akili. Hawana makuu. Ni wasafi kwelikweli. Sio walevi. Ni wavumilivu. Wana mapenzi ya kweli. Sasa kwa nini watu wasitake kuoa wanawake wa Kisukuma?
mmesaha kitu muhiiiimusana... wanapiga Jembe haoooooo, ka trekta.... akijifungua tu, baada ya mwezi, kichanga mgongoni... jembe linatifua vumbi..! wanafaa sa kwa KILIMO KWANZA!!😀
JULIUS JULIUS JULIUS.... How many times did I call you? (ref to your picture) am sure you are tooo young to know the right woman to marry!!!
mmesaha kitu muhiiiimusana... wanapiga Jembe haoooooo, ka trekta.... akijifungua tu, baada ya mwezi, kichanga mgongoni... jembe linatifua vumbi..! wanafaa sa kwa KILIMO KWANZA!!😀