Umeoa Msukuma?

Umeoa Msukuma?

Kuna mshikaji wangu mmoja kaoa msukuma ana wivu kama nini! Sijui ndo mapenzi yenyewe? Mpaka dogo anakosa amani kabisa kwa jnsi anavyofuatiliwa!
 
Kuna mshikaji wangu mmoja kaoa msukuma ana wivu kama nini! Sijui ndo mapenzi yenyewe? Mpaka dogo anakosa amani kabisa kwa jnsi anavyofuatiliwa!

Huyo ni mnyamwezi si msukuma. Wanyamwezi wako hivyo.
 
Wasukuma kwa ujumla wana sifa zifuatazo;
Wakarimu
Wanaheshimu watu
Wachapakazi
Wacheshi
Kwa nini usoe msukuma?
Mengine utajaza mwenyewe haya kwa kifupi yanatoka kwa ngosha Msukuma toka Shinyanga
 
mmalize kuwajadili hao dadazenu (wifi zangu) afu tufungue mjadala wa waume zetu wasukuma....watu watoe credit hapa!!!!

............Mimi kwa wanaume wa kisukuma nitatoa credit, maana my hubby ni msukuma asilia.
 
km uko siriaz..unataka kujua wasukuma wakoje,nadhani..Kabonde ameongea kila kitu kuhusu wao!..hao wengine mie nadhani wamepamba tu dada zao na wao...LOL!
...wasukuma sio wazuri kihiiivyo,wa kawaida..kwa kweli!..naaamini wanyamwezi,wachaga,wahaya(miguu of course!),na warangi wa Kondoa...wamewaacha mbali sana wasukuma kwa uzuri!!!

wanawake wa kisukuma sio wahangaikaji interms of shule na pesa..i mean..ni watu wa kuridhika saana,hata na kidogo!...moja ya sababu ndoa zao zinadumu!...sababu mwanaume ukiwa una authority..ndani ya nyumba,hawaku-challenge jambo lolote lile...
-wana upendo...
ni wachapa kazi,ukioa msukuma tegemea kukuta nyumba safi,...msosi wa maana...!wanapenda kufanya kazi za nyumbani,kwa nguvu zote na moyo wote...ni role...wanayoipenda kwa kweli.!!!..so yes wadada wa kisukuma...ni 'waolewaji'!
 
Kadili ya desturi zetu wengi wao wanaheshima, ni wachapa kazi, hawana makuu. Tatizo ni lafudhi ile ya kwetu hata angekaa Zanziibar miaka mia itabaki ni ile ile. Jambo jingine ni kuwa kama ni muda wa utani wanatania kwelikweli hadi raha. So best they are cute and smart ingawa exeptions hazikosi. By the way sina maana kuwa nimemuoa msukuma ila katika kukua kwangu nimewafahamu kwa muda kitambo!
 
Kadili ya desturi zetu wengi wao wanaheshima, ni wachapa kazi, hawana makuu. Tatizo ni lafudhi ile ya kwetu hata angekaa Zanziibar miaka mia itabaki ni ile ile. Jambo jingine ni kuwa kama ni muda wa utani wanatania kwelikweli hadi raha. So best they are cute and smart ingawa exeptions hazikosi. By the way sina maana kuwa nimemuoa msukuma ila katika kukua kwangu nimewafahamu kwa muda kitambo!
Raha ya msukuma wewe kaoe Mnyantunzu bwana, wana utani hao mpaka unafurahia mwenyewe. Hawa wako Bariadi huko ndanindani, Majahida, Kilulu nk.
 
Kingine wanawake wa Kisukuma sio wabishi wanajua wajibu wao kama mama.
Wanafua kufuli zao na za waume zao si wabishi pale mnapo pangiana majukumu.
kwani makabila mengine hawafui??????
now day dunia imebadilika sana na maadili nayo yameshuka, kila mtu ana tabia kulingana na malezi yake.
u cant imagene hata kina manka wanavaa chachandu wakati hawakuzijua hizi before
 
Raha ya msukuma wewe kaoe Mnyantunzu bwana, wana utani hao mpaka unafurahia mwenyewe. Hawa wako Bariadi huko ndanindani, Majahida, Kilulu nk.

Wewe ndio unajua wewe. Ile wilaya ni moto wa kuotea mbali ikija kwenye mademu, hustlers, na wasomi.
 
Mhhh hii kali..Ni wasukuma wa wapi hao unawazungumzia waenda kwa waganga???,heheeeeee

Kuhusu wazungu,nadhani wao ndo huwapenda wamama wakisukuma kwa tabia na uasili wao(si unajua wazungu hawapendi mambo ya mkorogo)
Nafikiri kwa swala la wazungu wenyewe hujileta sana sana pale Bujora ni hawo wenyewe wazungu huwa papatikia wanaume wa kisukuma kutokana na minguvuwaliyonayo wakiamini watawafikisha kileleni.
 
Wasukuma kwa ujumla wana sifa zifuatazo;
Wakarimu
Wanaheshimu watu
Wachapakazi
Wacheshi
Kwa nini usoe msukuma?
Mengine utajaza mwenyewe haya kwa kifupi yanatoka kwa ngosha Msukuma toka Shinyanga

Waweja kaka!
 
Nilikuwa kishapu huko shinyanga mwishoni mwaka jana hizi characters hazi-exist kwa kila mtu inshort hawa wadada sio kivile eti wanaheshima hapana hawa wanataka mpaka uwajue ukae nao
 
Back
Top Bottom