inamaana babu anakula ngada au mmea wa hekima ?:mvutaji:
Hakuna Dikteta Africa ila Madikteta wanapatikana Ulaya na Marekani![/QUOTE
kwa hiyo hawa waafrika marais ambao wanataka kufia ikulu wanaitwaje?
Hao wanaotaka maraisi wanaotaka kufia ikulu wanaitwa wakombozi na watetezi wa haki! Kwa hiyo wewe ukiambiwa umtaje Rais Dikteta utamtaja Mugabe?
Hao wanaotaka maraisi wanaotaka kufia ikulu wanaitwa wakombozi na watetezi wa haki! Kwa hiyo wewe ukiambiwa umtaje Rais Dikteta utamtaja Mugabe?
mkombozi na mtetezi wa haki?!..labda u are in your own kind of Africa aisee..goodluck