Umemmis nani hapa Jf?

Umemmis nani hapa Jf?

Sabry001

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2011
Posts
1,064
Reaction score
355
Me nimemmiss Washawasha kwa kauli yake ya nalog off, mwita25 na faiza foxy kule jukwaa la stress kwa roho zao za ukauzu kuitetea thithiem...! Teh!
 
my one n only hubby @asprim, shem Kaizer gfsonwin wake wenzangu cacico na Yummy

kidumu wa zamani Erickb52, mgombea mwenza wa kale Amyner.... Bishanga Buzi langu la enzi zileeeeeeeeeeeeeeee kabla sijaposwa na Asprin (msisitizo Asprin ndo alivunja kufuli) The secretary

na wengineo.......

Babu noma yaani ndiyo kafumania nyavu!!!! Mimi namiss sana Washawasha aka zee la kulog off, malaria sugu bila kuwasahau wadau wangu Blaki Womani mtu wa watu na dada wa makavu live Preta tehe tehe
 
Last edited by a moderator:
mi nimeimiss JF ya kitambo, ile tulikua tunaburudika na mikito ya zilipendwa na nyimbo nyinginezo...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom