Hayo ni maelezo ya kina mama wako quoted wewe, soma juu vizuri. The point is, iwe dakika kumi au ishirini, why? why not immediately as usual? kwani ingekuwa si jenereta la automatic mambo yangekuwa ni kama hili janga lililotokea sasa. Lakini kabla ya hapo hatukusikia ina maana jenereta lipo na ni automatic, what was the real problem? mimi conclusion yangu ni uzembe wa watendaji pale Muhimbili na si JK. Upo hapo ulipo?
Hayo ni maelezo ya kina mama wako quoted wewe, soma juu vizuri. The point is, iwe dakika kumi au ishirini, why? why not immediately as usual? kwani ingekuwa si jenereta la automatic mambo yangekuwa ni kama hili janga lililotokea sasa. Lakini kabla ya hapo hatukusikia ina maana jenereta lipo na ni automatic, what was the real problem? mimi conclusion yangu ni uzembe wa watendaji pale Muhimbili na si JK. Upo hapo ulipo?
Wakizungumza na mwandishi wa habari hii hospitalini hapo jana, baadhi ya akina mama wanaouguza watoto wao (majina yanahifadhiwa) walisema kwamba, umeme ulikatika majira ya saa 9 usiku wa kuamkia jana.
Akina mama hao walisema, baada ya umeme kukatika, walizuiwa kwenda kuwanyonyesha watoto wao kutokana na giza nene kutanda katika maeneo mbalimbali, ikiwamo chumba walichokuwa wamelazwa watoto hao hospitalini hapo.
Walieleza kwamba baada ya kukaa gizani kwa muda wa dakika 10, umeme wa jenereta uliwaka ambapo waliruhusiwa kwenda kuwanyonyesha watoto wao.
Hata hivyo, walisema baada ya kufika, walikuta baadhi ya vitanda walikolazwa watoto vimezungushiwa mapazia ya kijani.
Umeme ulikatika majira ya saa tisa. Tukakaa gizani kwa muda wa dakika 10. Ndipo umeme wa jenereta ukawashwa. Tulipokwenda kuwanyonyesha watoto wetu, tukakuta vyumba vitano vimezungushiwa mapazia ya kijani huku wenzetu wakilia kwa uchungu wa kupoteza watoto wao, alisema mmoja wa akina mama hao.
Baadhi ya madaktari wa watoto hospitalini hapo, walikiri kwamba, kitendo cha umeme kukatika ndani ya dakika 10, ni hatari kwa afya ya mgonjwa yeyote anayepumua kwa kutumia mashine na kwamba, kwa watoto wachanga ni hatari zaidi japo hawajafahamu kama kweli vifo vyao vimetokana na kukatika kwa umeme.
Madaktari hao pia walikiri kwamba watoto hao walikuwa wachanga na wengine walizaliwa wakiwa njiti na kusisitiza kuwa kinachosababisha waweze kuishi ni mashine.
Una hakika gani kuwa jenereta iliyokuwepo ni automatic? Kwa kuongezea, mashine sensitive za karne hii, jenereta haitoshi. Kutosikia taarifa kama hizi si ushahidi kuwa havitokei. Watanzania hawana kawaida ya kulalamika. Ndiyo tulivyo. Ukisoma majibu ya madaktari ni ya kujihami. Sitoshangaa kesho kusikia kuwa halikuwa tatizo la kukatika umeme.
Nakubaliana nawe kuwa kuna dalili za uzembe katika suala zima. Kwa kawaida mashine zakisasa zinahitaji UPS ambayo inahakikisha kuwa hakuna downtime hata ya sekunde moja. Na hizi si vile vinavyowekwa chini ya meza kwenye maofisi yetu. Lakini pengine hizo mashine za kupumilia hazihitaji hizo UPS. Hilo nakiri sijui.
Kinachonisikitisha zaidi ni kuwa haya yanatokea Muhimbili. Je huko ambako waandishi wa habari hawafiki? Wangapi wanapoteza maisha kutokana na uzembe?
Mimi matatizo yangu ni hao madaktari na wataalamu wengine. Sijawahi kuwasikia wakifanya mgomo kulalamikia mazingira ya kufanyia kazi.Mazingira haya yanajumuisha pia vitendea kazi vya kuaminika. Wao ni mishahara tu. Ninavyoona mimi, mazingira ni muhimu zaidi. Sidhani kama nimemtaja JK kwenye hili!
Kumbuka uozo wa hii nchi kaurithi JK, na hivi sasa yupo jikoni kuutafutia dawa.
Kamwambie aliyekutuma, wanaJF wanauliza hivi huko jikoni ni wapi ili tuje tumsaidie kutafuta dawa?
Kamwambie aliyekutuma, wanaJF wanauliza hivi huko jikoni ni wapi ili tuje tumsaidie kutafuta dawa?
dar Es salaam hapa vipi hujasema jk asifiwe ? Mbona unaacha hoja na kumshambulia jamaa ? Nilitegemea utaendeleza kumwaga sifa kwa jamaa kwamba anachapa kazi .Ungekuwa unaweza ungewahi wewe jikoni.
dar Es salaam hapa vipi hujasema jk asifiwe ? Mbona unaacha hoja na kumshambulia jamaa ? Nilitegemea utaendeleza kumwaga sifa kwa jamaa kwamba anachapa kazi .
Ahsante kwa kuniikumbuka, nimefika.
Jee, kama genereta lipo tatizo ni JK? ingekuwa genereta hakuna hapo ndio tungemshutumu Mkuu.
Haya ni makosa ya watendaji na inabidi hatuwa za haraka zifanyike na wachukuliwe hatua za kisheria na kinidhamu kwa makusudi kabisa.
Uozo wa utendaji Muhimbili unaonyesha kukomaa, (nikikumbuka na kisa cha kizembe kabisa cha kuchanganya wagonjwa).
Laiti ungekuwa unazitazama vizuri posts zangu kwa muono mpana ungenielewa vizuri kabisa.
Kumbuka uozo wa hii nchi kaurithi JK, na hivi sasa yupo jikoni kuutafutia dawa. Kwanza tumeona ameanza na rushwa, ubadhirifu na ufisadi na hivyo ndio vyanzo vya matatizo yote haya. Halafu yanafatia haya ya uzembe, kumbuka aliwekwa Muingereza pale Muhimbili kuiendesha, akapikiwa majungu mpaka akatimka, kwa nini? kwa kuwa alikuwa anawajibika ipasavyo na kuna wengi pale wakaona wanazibiwa njia zao za ubadhirifu na ufisadi na matokeo ndio hayo.
Uzembe huu (wa Muhimbili in particular) ni confined within Muhimbili na haujaanza leo na inabidi ushughulikiwe kikamilifu.
Hau-expect kuwa Rais wa nchi akumbushe mpaka mafuta ya genereta!
Hii itakuwa si kumtendea Rais haki, kabisa.
Kama mimi sijaelewa kinachozungumzwa nadhani na wewe hujaelewa kabisa nnchozungumza mimi, simply, Jee, unataka kumlaumu JK kwa kucheleweshwa kuwashwa genereta muhimbili? Ukisha jibu hilo itakuwa umeelewa nichozungumza.
Kuhusu maswala ya ufisadi na rushwa nadhani unajuwa ni nini JK anachokifanya kwa uozo alioukuta. Sina haja yakurudia rudia, tume zipo na kazi zinazofanyika zinajulikana kwa wanaotaka kuona.
Kuhusu kuwajibisha mawaziri wake, duhhh, unanishangaza, yaani hata mwezi haujapita, haujayaona ya kina Lowassa, karamagi na msabaha. Wacha kuwajibisha mawaziri. JK kaweka history ya kumuwajibisha waziri mkuu.
Kuhusu kuto-kufanya kazi zake, na hili pia unanishangaza sana tena sana, wewe unaujuwa uozo aliouruthi JK? au huujuwi? kama unaujuwa sina haja ya kuanza kukutajia mmoja mmoja, kama huujuwi niambie nikutajie na nikujulishe anaushghulikia vipi kama hujui.
Kwa hili Mkuu Rufiji nakuunga mkono mia kwa mia.
Kuna watu wantaka kupotosha kuwa genereta ilikuwa hakuna, nawashangaa sana, yaani hamkuisoma ile post ya mwanzo? inasema hivi:
" ...Walieleza kwamba baada ya kukaa gizani kwa muda wa dakika 10, umeme wa jenereta uliwaka ambapo waliruhusiwa kwenda kuwanyonyesha watoto wao...
Jenereta lipo, tatizo ni kwa nini liwake dakika 10 baadae?
Ingekuwa ni hivyo usemavyo wewe basi kila siku tungesikia tatizo hilo.
Hayo ni maelezo ya kina mama wako quoted wewe, soma juu vizuri. The point is, iwe dakika kumi au ishirini, why? why not immediately as usual? kwani ingekuwa si jenereta la automatic mambo yangekuwa ni kama hili janga lililotokea sasa. Lakini kabla ya hapo hatukusikia ina maana jenereta lipo na ni automatic, what was the real problem? mimi conclusion yangu ni uzembe wa watendaji pale Muhimbili na si JK. Upo hapo ulipo?
Ungekuwa unaweza ungewahi wewe jikoni.
dar Es salaam hapa vipi hujasema jk asifiwe ? Mbona unaacha hoja na kumshambulia jamaa ? Nilitegemea utaendeleza kumwaga sifa kwa jamaa kwamba anachapa kazi .
kasome thread kuanzia mwanzo ujue nimesema nini, usikurupuke.
Kuna watu wantaka kupotosha kuwa genereta ilikuwa hakuna, nawashangaa sana, yaani hamkuisoma ile post ya mwanzo? inasema hivi:
" ...Walieleza kwamba baada ya kukaa gizani kwa muda wa dakika 10, umeme wa jenereta uliwaka ambapo waliruhusiwa kwenda kuwanyonyesha watoto wao...
Jenereta lipo, tatizo ni kwa nini liwake dakika 10 baadae?
Labda lilichelewa kuwaka kwa sababu lilikuwa linasubiri kuundiwa Kamati Teule!
Labda lilichelewa kuwaka kwa sababu lilikuwa linasubiri kuundiwa Kamati Teule!
Inawezekana kuwa kweli ulisemalo, au inawezekana wawashaji jenereta walikuwa hawajarudi kutoka KITETO. kwi kwi kwi kwi kwiiiiiiiii
kwi kwi kwi kwi kwi...
kamati teule na baada ya hapo iundwe tume ya kuchunguza kamati teule!
unaleta bangi hapa wakati maisha ya watoto yanapotea, Shame on you!
kama ile kamati teule tuliyoiunda kutaka kamati ya ushindi KiTETO ichunguzwe ilishindwaje? au sio? Ha ha ha ha haaaaaaaaaaa ha!