Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Hayo ni maelezo ya kina mama wako quoted wewe, soma juu vizuri. The point is, iwe dakika kumi au ishirini, why? why not immediately as usual? kwani ingekuwa si jenereta la automatic mambo yangekuwa ni kama hili janga lililotokea sasa. Lakini kabla ya hapo hatukusikia ina maana jenereta lipo na ni automatic, what was the real problem? mimi conclusion yangu ni uzembe wa watendaji pale Muhimbili na si JK. Upo hapo ulipo?
Hii Hospital si iko chini ya yule waziri anayeunda tume kuchunguza tume ? na hata matokeo ya tume ya kuchunga tume huwa hayatoi hadharani? sintoshangaa mh huyu akiunda tume kuchunguza tume na tume ambayo itakuwa inachunguza tume zilizopita..kazi kweli kweli, pole wa wafiwa wa watoto wao jamani....inauma lakini ni Tanzania yetu