mwenzako akinyorewa, wewe tia maji.
wale wapenzi wa kunyolewa, upo chumba maalumu cha kunyolewa nywele lakini kwa bahati mbaya umeme ukakatika kinyozi akiwa katikati ya kichwa, huwa mnafanyeje.? unaondoka hivyohivyo.? au unasubiri hadi Tanesco waludishe umeme wao?
kunyorewa ndio nini?
Sio lazima kuanzisha uzi
Ivi ni kwa nini kuna watu wengi wanachanganya r na l siku hizi..?