Sumba-Wanga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 5,349
- 1,224
Tanzania yangu hii...
Waziri muhusika atasemaje kwenye hili? Au ndio "kama huwezi kulipia umeme, washa koroboi"?
Uwashe koroboi mafuta ya taa unayamudu?
Lala gizani!
Tanzania yangu hii...
Waziri muhusika atasemaje kwenye hili? Au ndio "kama huwezi kulipia umeme, washa koroboi"?
Mwandishi: mheshimiwa waziri ngeleja huoni kuwa bei ya umeme iko juu sana kiasi kwamba wanachi wa vijijini na wafanyakazi wa kawaida hawataweza kumudu gharama hizo na bidhaa nyingi zinazozalishwa viwandani vitapanda bei.
Waziri: Hilo limezingatiwa lakini gharama lazima zipande kwani gharama za uzalishaji ziko juu sana na Kama mnavyovua tanesco wana mzigo mkubwa sana wa Deni la Dowans. Wananchi ambao wataona kuwa gharama hizo ziko juu na hawawezi kuzimudu basi warudi vijijini au watumie vibatari.
Mkuu amejibu hivyo kimoyomoyo na ndio ukweli wenyewe!!!!Haiwezekani kajibu hivyo kweli?
kuanzia unit 0 hadi 50,ongezeko hili haliwagusi,ila ukinunua unit zaidi ya 50,basi ongezeko limekugusa
Fredmlay nakuapia kwa jina la Mungu hai aliye juu, mimi nyumbani kwangu natumia units chini ya 50 kwa mwezi!. Nyumba yenyewe ina taa moja tuu ya energy server na ina socket moja ambayo situmii kitu chochote kwa socket hiyo zaidi ya kuchajia simu!. Angalau sisi walala hoi this time Tanesco wametukumbuka!.Nimekuwa nikijiuliza hivi hii serikali ya ccm huwa inakusanya vipi takwimu zake maana ukisikia zingine utashangaa kama kweli zimekusanywa kitaalamu au ni usanii mtupu.
Nimeshawishika kuamini kuwa hakuna tafiti ila usanii kwa vile linapokuja swala la umaskini utasikia watanzania wengi ni maskini wanatumia chini ya $1 kwa siku lakini linapokuja swala la umeme utasikia mlalahoi ni yule anayetumia chini ya unit 50 kwa mwezi jambo ambalo sio kweli! Ninaamini kama utafiti ukifanyika maskini wengi wenye umeme majumbani wanatumia zaidi ya huo na pia tanesco wamekuwa waongo maana kila mwenye mita ya luku sio mlalahoi kwani hazina hiyo tariff ya maskini bali watumiaji wa kati.
Fredmlay nakuapia kwa jina la Mungu hai aliye juu, mimi nyumbani kwangu natumia units chini ya 50 kwa mwezi!. Nyumba yenyewe ina taa moja tuu ya energy server na ina socket moja ambayo situmii kitu chochote kwa socket hiyo zaidi ya kuchajia simu!. Angalau sisi walala hoi this time Tanesco wametukumbuka!.
Kuna wakati ilitokea shughuli tukanunua umeme zaidi ya zile unit 50!. Amini usiamini!,,bei ya kila unit ni mara 3 ya bei ya zile unit 50 za mwanzo!. Yaani ukizidisha hizo unit 50, unaadhibiwa!.
NI bora tuwe na umeme wa uhakika hata kama wa bei juu,kuliko kuukosa kabisa,si lazima tulalamike kwa kila kitu tu,kama vipi tumieni njia mbadala solar,jenereta nk mkishindwa VIBATARI VIPO
Na baada ya miezi sita utapanda tena (japo wamsema watathmini ipande au ishuke ) lakini THUBHUTU......ishuke?? yaani hiyo 150% iliyoombwa lazima ifike kiana, utasikia misamiati ile ya ya KUKOKOTOA, MCHAKATO, KUOANDA GHARAMA ZA UENDESHAJI nk
Fredmlay nakuapia kwa jina la Mungu hai aliye juu, mimi nyumbani kwangu natumia units chini ya 50 kwa mwezi!. Nyumba yenyewe ina taa moja tuu ya energy server na ina socket moja ambayo situmii kitu chochote kwa socket hiyo zaidi ya kuchajia simu!. Angalau sisi walala hoi this time Tanesco wametukumbuka!.
Kuna wakati ilitokea shughuli tukanunua umeme zaidi ya zile unit 50!. Amini usiamini!,,bei ya kila unit ni mara 3 ya bei ya zile unit 50 za mwanzo!. Yaani ukizidisha hizo unit 50, unaadhibiwa!.
Halafu umepanda wakat ambao atleast unapatikana,wale wanaotumia unit 0-50,hauwagusi,wanaopinga wakate rufaa kwenye tume ya ushindani ya biashara
Nyumba yangu yote bwana Pasco nimefunga energy server lakini matumizi ni unit 8 kwa siku, kikubwa kwenye uhitaji wa nishati hii ni matumizi ya pasi na kuchemsha maji ya kuogea ili kuokoa mazingira vinginevyo huduma hizo itabidi kutumia mkaa ambao ni uharibifu wa mazingiraFredmlay nakuapia kwa jina la Mungu hai aliye juu, mimi nyumbani kwangu natumia units chini ya 50 kwa mwezi!. Nyumba yenyewe ina taa moja tuu ya energy server na ina socket moja ambayo situmii kitu chochote kwa socket hiyo zaidi ya kuchajia simu!. Angalau sisi walala hoi this time Tanesco wametukumbuka!.
Kuna wakati ilitokea shughuli tukanunua umeme zaidi ya zile unit 50!. Amini usiamini!,,bei ya kila unit ni mara 3 ya bei ya zile unit 50 za mwanzo!. Yaani ukizidisha hizo unit 50, unaadhibiwa!.
Kuanzia jan 15 watz wataanza kununua umeme kwa bei mpya
Nyumba yangu yote bwana Pasco nimefunga energy server lakini matumizi ni unit 8 kwa siku, kikubwa kwenye uhitaji wa nishati hii ni matumizi ya pasi na kuchemsha maji ya kuogea ili kuokoa mazingira vinginevyo huduma hizo itabidi kutumia mkaa ambao ni uharibifu wa mazingira