Umemchoka mwanaume omba talaka

Umemchoka mwanaume omba talaka

mnhhhhhhhhhhhhhhhhhhh
hujanielewa
nilikua namaanisha je uko tayari kuitoa sadaka familia yako,ili uwe na mchepuko au uwe na familia nyingine??
Kukabiliana na mapungufu,ni mambo ambayo tunachunguzana tukiwa wachumba sio tumeoana na familia tayari,
ukiwa kwenye ndoa na kila siku mnavutana,ni makosa yenu wenyewe kuoana kabla hamjajuana vizuri,in which makosa ni yenu ,sio familia mliyoianzisha,!
siwaelewagi watu wanaoacha wake zao au familia zao kabisa!!!.....
Kama hiyo familia haikupi furaha Ni afadhali ukasepa tu.
Kuishi kwa stress kunakuongezea magonjwa mengine ambayo hata hayakutakiwa kujitokeza.
Ukipata na ya akili ndio unaua kabisa.
Aafu kuchunguzana siku hizi sio feasible kabisa.
Imagine, nimekutana na wewe kwenye semina ya namna ya kutumia condom Arusha.
Unafanya kazi ntwara na Mimi ulanga.
Tukaendelea kuwasiliana na mapenzi yakakolea hatimaye uchumba.
Muda mwingi Ni simu tu ndio kukutana kwetu.
Few moments tunakutana physical in 3 years.
Utasema umenichunguza na kunijua vya kutosha!?
 
Kwamaana yako ni kwamba mwanamke ndio anapaswa kuwa mvumilivu kupita kiasi si ndio???????
Mkuu, viumbe wote wa kiume Ni bulling in nature.
Na viumbe wa kike wanajisikia safe kuwa na mwanaume mbabe.
Sasa mwanamke usipojifunza kuvumilia kuliko mwanaume hiyo ndoa haidumu.
Kama umeolewa jiulize, Ni makosa mangapi mumeo kayafanya ukamsamehe ila yeye huwa anakusamehe kwa manati?
 
Mkuu, viumbe wote wa kiume Ni bulling in nature.
Na viumbe wa kike wanajisikia safe kuwa na mwanaume mbabe.
Sasa mwanamke usipojifunza kuvumilia kuliko mwanaume hiyo ndoa haidumu.
Kama umeolewa jiulize, Ni makosa mangapi mumeo kayafanya ukamsamehe ila yeye huwa anakusamehe kwa manati?
Is that something to be proud of? Mxiiieewww
 
Mkishakua na familia,hamupaswi kuwa selfish kwa kuweka needs zenu mbele...
badilisha mind set mkuu..
unaoa/kuolewa sio tu kugegeda tu ni kuanzisha pia familia unayopaswa kuilinda...
By the way,hakuna ndoa isiyopitia magumu,kama wenzako wamepitia vipindi vigumu na kupita salama,why not you...u sacrifice everything in the name of mchepuko?? NO!
...BIG NO, Rebecca...
 
Umeandika as if wanaume hawachepuki kabisa

Hebu acha kuegemea upande mmoja basi....wanaume wanachepuka zaidi ya wanawake!

Tena siku hizi ndio wameanza kuona kama ni haki yao kumiliki mchepuko

Hata sisi hatupendi unafki​
Nakubaliana na wewe ila usiwe na mawazo potofu ya kulipiza kisasi kwa kuchepuka. Maana hapo ndipo mapanga hutamalaki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom