Hahaha au anataka akupangie wageni wa kukutembelea
Yaani unalipiwa kodi ila unaisoma namba unaona heri ungelipa mwenyewe ubaki huru
Hahaha au anataka akupangie wageni wa kukutembelea
Jipe moyo. Ndege mjanja.....
Yaani unalipiwa kodi ila unaisoma namba unaona heri ungelipa mwenyewe ubaki huru
Good boyBTW, yote ninayoyaandika leo hayana uhalisia kwa kiasi kikubwa.
Naomba niseme uchepukaji siyo field yangu kabisa.
Yaani unalipiwa kodi ila unaisoma namba unaona heri ungelipa mwenyewe ubaki huru
Good boy
Mimi sihamii, ila funguo ya spare lazima niwe nayo, nakuja muda wowote naotaka bila au kwa kutoa taarifa.
Yeah, hasa mkiwa mnazungumza wahenga kwa wahengaDah, hivi hiyo boy hata sisi wahenga inatuhusu?
Kama mke jeuri hatoi mzigo kwa uhuru kuchenjua nje kama kawa yani. Toeni ngenya bila masharti muone kama kuna mtu atachepukaHata wanaume kuliko kuchenjua nje wajitoe tu kwenye ndoa
Kuna kuumwa, kuna family planning nyie yote hayo hamjuagiKama mke jeuri hatoi mzigo kwa uhuru kuchenjua nje kama kawa yani. Toeni ngenya bila masharti muone kama kuna mtu atachepuka
Huo ndio upuuzi kuliko hata upuuzi wenyewe
Dah, hivi hiyo boy hata sisi wahenga inatuhusu?
Yeah, hasa mkiwa mnazungumza wahenga kwa wahenga
Sina sababu ya kulipa pango kama napangiwa kuja.
Isitoshe kuna wengine wanakwambia eti mwenye nyumba hataki wageni wa kiume, so nilipe kodi, nilipe hela ya hotel (guest) kila wiki?
Ona sasaMimi sihamii, ila funguo ya spare lazima niwe nayo, nakuja muda wowote naotaka bila au kwa kutoa taarifa.
YaapPeer to peer.
Hivi Don una miaka mingapi?ujue sometimes nakuonaga kama mbaba vile tena mkali mkali mixer mnoko
Ila nikikukuta uzi wa liver kule nakuona kama kaka yangu wa kwanza tu sio mkubwa sana
Hivi Don una miaka mingapi?ujue sometimes nakuonaga kama mbaba vile tena mkali mkali mixer mnoko
Ila nikikukuta uzi wa liver kule nakuona kama kaka yangu wa kwanza tu sio mkubwa sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo kwenye unoko unoko naungana na wewe
Ona sasa
Yani kama kwako sasa unakujaje bila taarifa?