Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
Kwa hiyo point aliyoandika ajilipie tu.
Una like zangu zaidi ya kumi mpendwaUmeandika as if wanaume hawachepuki kabisa
Hebu acha kuegemea upande mmoja basi....wanaume wanachepuka zaidi ya wanawake!
Tena siku hizi ndio wameanza kuona kama ni haki yao kumiliki mchepuko
Hata sisi hatupendi unafki
Don unanitafuta nini mimi DonKwa hiyo point aliyoandika ajilipie tu.
Nilikuwa naomba uninunulie pepsi moja
Una like zangu zaidi ya kumi mpendwa
Don unanitafuta nini mimi Don
Don unanitafuta nini mimi Don
Hahaha, tar 1 June, kwa sharti la kuishangilia Liverpool.
BTW: Unajua nimekumiss kwa kiasi gani?
Bizze na kazi mpendwa😂😂😂
Asante mpendwa...halafu siku hizi sikuoni my dear
Kwa hiyo point aliyoandika ajilipie tu.
Natamani watu wote wange kuwa hivi,Hakuna mtu anapenda kunafikiwa mkuu...Muhimu ni kuambiana ukweli na uwazi,.kama unahisi kumchoka mwenzio kiroho safi mwambie baba/mama eee shika fifty zako me naona nitakuumiza hapa bureee...simple.
Maisha ya kimahusiano ni very simple tukiamua wenyewe kuya-simplisha.
Bizze na kazi mpendwa
Hahah sio wote thano...kuna watu hatupendi kujichosha kabisaa na haya mambo...hatuziwezi bandika bandua,.watu mahusiano yakiisha tunapiga 1yr 2yrs dry kabisaa bila wenge,.na sio kwamba hawapo NO,.we care 'bout our feelings man"Natamani watu wote wange kuwa hivi,
Ila nachojua mwanamke hawez kumuacha mwanaume kabla ya kupata replacement yake labda iwe imetoka ghafla amemfumania otherwise mwanaume ukiachwa ujue kuna njemba amekufanyia substitution tayari.
Bora nisiipate tu hiyo pepsi kuliko kushangilia liver
Sijui hata umenimiss kiasi gani....ila mie nimekumiss sanaaaaa
@joanahUmeandika as if wanaume hawachepuki kabisa
Hebu acha kuegemea upande mmoja basi....wanaume wanachepuka zaidi ya wanawake!
Tena siku hizi ndio wameanza kuona kama ni haki yao kumiliki mchepuko
Hata sisi hatupendi unafki
Kwamaana yako ni kwamba mwanamke ndio anapaswa kuwa mvumilivu kupita kiasi si ndio???????Lazima ifike hatua mkubaliane tu kuwa Mambo hayaendi mbele Tena.
Maana ili ndoa idumu lazima mmoja awe mvumilivu kupita kiasi kwa matendo ya mwenzie.
Kukishakuwa na kushindana hamuwezi kudumu.
Ni Bora mkatafuta namna nzuri ya kulea watoto kuliko mwingine akaishia ardhini na mwingine jela.
Ni afadhali hao watoto wakalelewa na mzazi mmoja kuliko kukosa wote
Baada kama ya dakika 30 ntakucheki PM, nikubusu hata.