Umemchoka mwanaume omba talaka

Umemchoka mwanaume omba talaka

Katika mambo nilishasema maishani mwangu ni sitokaa nimpige mke wangu wala mpenzi wangu. Kama naona tumeshindwana na tunaelekea kubaya ni bora tuachane tu kila mtu akae kimpango wake.
 
Sasa mbona ye hajaandika cha tofauti, unataka kusema ukikamatwa hata msamaha huombi?
Mimi nina principle moja kwenye mahusiano:-

Kwamba cheating ni mwisho, kama nikichepuka ukanikamata ukanisamehe, ni juu yako.

Mimi nikijua ni mwisho wa mahusiano.
 
Niwape mkasa huu kidogo uliowahi nitokea miaka 4 iliyopita.

Nilikuwa na mahusiano na binti mmoja hapa mtaani kwetu, binti ni mrembo tu, ikafika siku nikala mzigo ila ndiyo mara ya kwanza kunitokea hali ile. Nilimla kama dk 3 tu nikapiz na sikuweza kurudia nae tena kwa siku hiyo, nikadhan labda kwa kuwa ni mara ya kwanza inaweza kuwa imenipata hofu,
Kesho yake ikawa vile vile nikasema hapa kuna tabu mahali, kiuchumi nilikuwa nimeyumba mnoo! Chakula kukipata kwangu ilikuwa ni kwa tabu sana, mara nyingine akawa ananihudumia, namshukuru. Siku moja akaja kwangu nilipopanga majira ya saa 4 hivi asubuh, akanambia hajisikii kwenda kazini, nikamwambia kaa hapo tushinde wote akasema haina neno. Ile nimekaa nae nikawa nataka nile mzigo dem akachomoa, huku na huku nataka nimvue akanitukana we M. S. Enge hebu niache mi nimechubuka huku ndani.

Nilimwangaliaaaaa sikumgusa tena aliponitamkia vile, nikatoka zangu rum nikaenda nje. Huku ndani nikamuacha kalala, alipoamka akaja kuniaga anaondoka kwao, nikamwambia poa, akasepa. Sasa nikuulize wewe rafiki, ungekuwa umejibiwa hivyo ungemfanya nini huyo bibie
 
Eti eeh? Tufanye maarifa, mtu anapiga chenga kulipia soda ataweza kulipa kodi ya nyumba?

Mie nishafikiria mmoja ila nahisi nae ni wale wale bahili

Huyu ya kodi hatoi,hawa ndio wale wakilipia kodi wanataka kuhamia kabisa
 
Mie nishafikiria mmoja ila nahisi nae ni wale wale bahili

Huyu ya kodi hatoi,hawa ndio wale wakilipia kodi wanataka kuhamia kabisa
Hahaha au anataka akupangie wageni wa kukutembelea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom