Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 24,865
- 89,796
Amen.Hata wanaume kuliko kuchenjua nje wajitoe tu kwenye ndoa
Uko fit?
Niko fit kabisa
Unataka tupashe nini?![]()
Nifunze kutag basi
Hebu nijizuie nisilale nisubiri dakika 30 za first kiss..kutoka kwa Don Clericuzio 😊😊
Ntakupoteza mapema sana maana round hii nimesimama kama Manara![]()
![]()
Hata wanaume kuliko kuchenjua nje wajitoe tu kwenye ndoa
Nifunze kutag basi
Kinachoniuma ni kwamba huo mda unaotaka kuupoteza kwa kujaribu ni heri ungeenda kujifua zaidiUsinitishe basi
Tujaribu kwanza ndio tujue kama nimeshindwa...sinaga tabia ya kukubali bila kujaribu hata kama najua siwezi![]()
huwa nafanya hivo some time inatiki some time inanikataa adi huwa nadataUnabonyeza @ halafu jina la ID
Hahaha, acha hizo.
Halafu kuna uzi wa madomo zege nimekuona unashusha points, nikija PM itabidi unipe mbinu.
Kinachoniuma ni kwamba huo mda unaotaka kuupoteza kwa kujaribu ni heri ungeenda kujifua zaidi
Mie inakubali mara zotehuwa nafanya hivo some time inatiki some time inanikataa adi huwa nadata
Mie inakubali mara zote
Ila nilivyokuwa natumia APP miaka ileee ndio ilikuwa inakataa...siku hizi situmii APP
![]()
![]()
![]()
kama nakuona unavojifariji
Mi niko nyuma ya mda natumia app ndio maana inanichomolea
Yaani hadi nakuonea huruma unavyoogopa
Tuache basi nakupa muda ujiandae kwanza
umefanya mtihani afu umejisahishia mwenyewe