Umemchoka mwanaume omba talaka

Umemchoka mwanaume omba talaka

Ntakupoteza mapema sana maana round hii nimesimama kama Manara

Usinitishe basi😂😂😂

Tujaribu kwanza ndio tujue kama nimeshindwa...sinaga tabia ya kukubali bila kujaribu hata kama najua siwezi😅😅
 
Usinitishe basi

Tujaribu kwanza ndio tujue kama nimeshindwa...sinaga tabia ya kukubali bila kujaribu hata kama najua siwezi
Kinachoniuma ni kwamba huo mda unaotaka kuupoteza kwa kujaribu ni heri ungeenda kujifua zaidi
 
Hahaha, acha hizo.

Halafu kuna uzi wa madomo zege nimekuona unashusha points, nikija PM itabidi unipe mbinu.

Sijui mimi sijawahi kujaribu

Ila sio mbaya nikienda kujifunzia kwako manake siwezi kujua siku nikipenda mtu itabidi nianze mie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom