Kapyungu A
JF-Expert Member
- Jul 8, 2015
- 3,499
- 3,168
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hawa ni wazuri kwa matumizi ya kawaida ya binadamu ila usijaribu kuoa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hawa ni wazuri kwa matumizi ya kawaida ya binadamu ila usijaribu kuoa.
Naona unajitetea[emoji124] [emoji124] [emoji124][emoji23] Wanawake wa insta hao bila camera 360 ,,hawaaupload picha
Ha ha hivi kwanini wanaume wanaogopa kuoa most beautiful women[emoji1] [emoji1]Nikiwa pombe huyo "B" ninaweza kumuona kama ndio nataka kumuanza mimi, ila nikiwa poa,picha ya mke wangu ikinijia wote hawanishawishi.
[emoji23] [emoji23]Ukioa ni sawa na kuwa na shamba la miwa karibu na shule ya msingi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] "kinyambe voice"Hahaaa ye mwenyewe kadownload
Karibu mtumishi wa bwana[emoji4] [emoji4] [emoji4]nitachukuwa biblia niwaongoze sala ya toba
Chinese-made phones....A
![]()
B
![]()
C(Nyongeza)
![]()
Huyu ni Samsung note 7..Mda wowote analipuka.Na huyu vp mkuu
Ntaku PM namba yake mkuu