Umekutana nao paa..Utachagua A au B

Umekutana nao paa..Utachagua A au B

Ni kama uulize, Ukiwa umebanwa na Haja Kubwa pamoja na Ushuzi uta-release kipi kwanza.

Hapo A na B vinalika... any of the above. Huo muda wa kuchagua natoa wapi
 
Nikiwa pombe huyo "B" ninaweza kumuona kama ndio nataka kumuanza mimi, ila nikiwa poa,picha ya mke wangu ikinijia wote hawanishawishi.
 
VP na hii
1476640559661.jpg
 
Alafu ndo siku yake ya mwisho kuishi duniani anaondoka na mautamu yake etii
 
Mi huwa napenda afrikasti,baba mdigo mama muarabu,like my wife.
 
Watoto wa kiafrika nyie bana acheni tu!Yaani wamejaaliwa figa ile ya kike kabisa sio kama waasia walio wengi na wazungu!Yaani kwa figa wanatukubali ingawa kimya kimya!Mie bana siku nkikutana nao ndo ntajua nichague yupi[emoji8]
 
Ni kama uulize, Ukiwa umebanwa na Haja Kubwa pamoja na Ushuzi uta-release kipi kwanza.

Hapo A na B vinalika... any of the above. Huo muda wa kuchagua natoa wapi
Mkuu umenifanya nicheke
 
Back
Top Bottom