kwenu ni kijiji gan ambako hadi leo hakuna network wilaya ya mufindi? wanaoendesha baiskeli hadi sasa kwa mufindi ni tarafa ya sadani na tarafa ya malangalinasoma comments
mi mwenyewe bado nampendaX hakumbukwi[emoji1787]sema x wengine wamekua wagumu kusahauliwa[emoji1787]
malangali chiefkwenu ni kijiji gan ambako hadi leo hakuna network wilaya ya mufindi? wanaoendesha baiskeli hadi sasa kwa mufindi ni tarafa ya sadani na tarafa ya malangali
hapo sawa huyo ex wako kaolewa kama bado nipasie mimi nimtakatishe nimuoe awe ananiangalizia ng'ombe wangu wpo ihanganatwamalangali chief
Past is gone, wewe unaweza kuifufua maiti iliyokufa?ebu funguka hapa chini ex wako yuko wapi, umewahi tenga muda kujua anajihusisha na nini kwasasa?
thubutu.hapo sawa huyo ex wako kaolewa kama bado nipasie mimi nimtakatishe nimuoe awe ananiangalizia ng'ombe wangu wpo ihanganatwa
hahaaa chiefPast is gone, wewe unaweza kuifufua maiti iliyokufa?
Huo muda hua natenga kwa ajili ya Mambo mengine ya msingi sio kujua mtu gani anajihusisha na nini wewe mwenyewe hapo umesema umekutana nae njiani just a coincidence,
Mimi pia nilikutana nae njiani akaanza kujirudisha nipatie namba yako mara huyo kaja kunitembele nikafunga vioo umeshaolewa wewe na mtoto umeshampata ndani ya ndoa mazoea na Mimi ya nini tena?
mele ndemuyago ndifwa uwukiva ve si ye wategwe belathubutu.
still nampenda sana
Nilipo muuliza ulikua wapi kipindi chote , katikati ya mapenzi yetu uliondoka bila hata kuniaga nilikukosea nini Akaniambia Mama alimpeleka Dar kwa wajomba zake kusoma!!
Uzi ulikuwa mzuri,ulipofika hapa ukaharibu
Sahih kbsa ukachunguze jitu linafanya nn bladfool Hawa watoto sananHuo muda sasa wa kuwaza ma Expired things si tulime hata vibustani…
mkongwe, mengine nimeyahifadhi.Hebu malizia story...kuna jambo hujamalizia kuliandika
Haya sawa we endelea kujifanya hero akupige za uso apite hivi,hahaaa chief
mimi sina roho hiyo, nimetoka naye mbalii. sex not
nataka ukaribu tuu na kumuwezesha
nimechukua ushauri wako mkuuHaya sawa we endelea kujifanya hero akupige za uso apite hivi,
Mi nimejiuliza yule mgonjwa aliyebebwa kwa baiskeli ilikuaje baada ya eksi kuanza kujigalagaza chini...si itakuwa naye pia alianguka chini... si eti eenh Jo?
Inshort chai ilikua tamu ila hichi kikombe alijaza limao😁😁Uzi ulikuwa mzuri,ulipofika hapa ukaharibu
Ndio ndio mtu nane 😂
Picha ya mtu kulia huku anajigalagaza inakuja lakini?
believe it or notInshort chai ilikua tamu ila hichi kikombe alijaza limao😁😁
Sawa ila hapo kwenye kuacha baiskeli na kujitupa na kugaragara imeleta ukakasi kuhusiana na afya na usalama wa abiria aliepanda hiyo bicycle baada ya kuachwa ghafla na derevabelieve it or not
based on true story chief ,hii sio chai kuna codes zimetumika