Objective football
JF-Expert Member
- Oct 21, 2023
- 1,195
- 2,773
- Thread starter
- #21
baadhi wametoka hukoHahaha lakini si kila mtu lazima achapike kimaisha
wengine tunajitafuta
kuna walio lemewa .
huu ndio muda wa kuwezeshana chief
baadhi wametoka hukoHahaha lakini si kila mtu lazima achapike kimaisha
Huku mbali, pale aliposema alimuona ex wake anaendesha baiskeli kampakia mmama mtu mzima nikajua tuu hii chai tayari.Uzi ulikuwa mzuri,ulipofika hapa ukaharibu
watoto wa4+ , kandambili zimechakaa.Ex zetu wengi tulowaacha vijijini miaka 10+, ukionana naye leo unaweza usiamini kama ndiyo yeye...
Kibaya zaidi yule aliyeutesa moyo wangu hata nikikutana naye najiuliza hivi kilichonitesa ni nini hasa?Huo muda sasa wa kuwaza ma Expired things si tulime hata vibustani…
and this is my aim. we must stabilize income status through capital and technical empowermentSema sio kitu kizuri kufurahia magumu anayopitia mtu amabaye alikuwa x wako
Nadhani hii kufurahia magumu ya mtu ni roho amabayo inaweza kukufanya usiende mbele na kuwa na Mtazamo . Watu wengi hasa bongo mkiachana hatua inayofata nikuombeana mabaya.
Ni vizuri watu tukaelewa katika MAISHA maamuzi mengi hufanywa kutokana na Maarifa au kiwango Chao cha ufahamu
based on true storyHuku mbali, pale aliposema alimuona ex wake anaendesha baiskeli kampakia mmama mtu mzima nikajua tuu hii chai tayari.
ya moto chief?Chai
katika pilika zako ,kuna siku mtakuja kuonanaaHata muda wa kumfatilia Ex unapata wapiii? Wengine tunasahau km tulishawahi date, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni sawa, ila kila mtu atakua buzzy na yake.katika pilika zako ,kuna siku mtakuja kuonanaa
watakwambia ex zao huko waliko waliwe hata na mambaHaya wenye maex zenu mkuje mtupatie shuhuda zenu.
usije jikuta mme kumbushianaNi sawa, ila kila mtu atakua buzzy na yake.
Hahaha sawa sawabaadhi wametoka huko
wengine tunajitafuta
kuna walio lemewa .
huu ndio muda wa kuwezeshana chief
Chai ya moto...Chai
Ni wazi bado unamkubali. Tusubili mada nyingine kuhusu msaada wako kwakenimekuta ex wangu kachakaa sio mchezo
mkuu namkubali ila siwez mrudia.Ni wazi bado unamkubali. Tusubili mada nyingine kuhusu msaada wako kwake
Hapo tu kafupisha. Aliporudi jioni baada ya kupaki baiskeli,walielekea wapi? Hatuji. Labda ndege vichakani huko watasimulia. Mbolea alimpaaahali ya kimaisha imekua tafrani , kama anachapika huko kijijini msaidie hata mbolea ya ruzuku aiseeh