Anita Makirita
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 1,409
- 2,254
Sitaki, Una makasiriko,Njoo uolewe na mimi
Sitaki, Una makasiriko,Njoo uolewe na mimi
Aah wapi sio makasiriko ni MANENO tu Ina maana huzioni jitihada zangu?Sitaki, Una makasiriko,
Naomba unipe roughly ni asilimia ngapi haitaki kuwa kwenye ndoa. Usiangalie watu wanasemaje, moyo kuusoma ni ngumu.Mstari wa pili si kweli niliona zamani trend zinaonyesha Siku hizi wanaume na wanawake wanachagua not to get married, so uchague mwenyewe halafu likukoseshe amani??? Labda kwa wale waliokuwa wanaitaka sana ndoa, Napo ina umri ukifika wakati fulani Una accept fate yako
Sio wanaogopa mkuu ukweli ni kwamba ndoa ni ngumu bila moyo wa chuma hutoboiSiku hizi vijana wote,wa kike kwa kiume,wanaogopa ndoa.Hatari sana!
Wewe ushajipangaukorofi tu, sasa maswali gani haya mnauliza

Subiria ufike 30+ ndio utajua kuolewa ni nini🤣Kwani kuolewa ni nini
Usimsanue acha aringe na vile akifika 30+ akitokeza kwenye linaanza kuonekana tumbo 😂😂Subiria ufike 30+ ndio utajua kuolewa ni nini🤣
KimeumanaaMwanamke kwa mujibu wa maumbile ikifika 18/19/20 inabidi tayari awe ashaolewa yupo nyumbani na mmewe sasa ikiwa kinyume chake ni shida mara paa 40 hii hapa
😂😂Toa jibu huko acha kuuliza😀😀😀 ukorofi tu, sasa maswali gani haya mnauliza
... "Ila wewe umeolewa"Kwamba bila kuolewa hakuna maisha? Binti yangu sitamfundisha logic zenu hizi aise
Ifike wakati watu mtambue ndoa sio ya kila mmoja...And by the way nikikosa ndoa ntaingia shambani kulima, au da Joannah unasemaje😌
Ngoja nimwambie Mjukuu wangu achangamkie, watu kama ninyi ni wachache kupatikana 🤪Kama.ananipenda upendo wa agape atanifurahia..full heshima na vile ni charming! Full manjonjo😤
Kila mtu na maisha yake aliyojipangia na kujichagulia....unadhani ndoa ni kipaumbele cha kila mtu🙄🙄Nyie ndiyo mnabeba sonona baya sana!!
Kuna binti alijifanya mrembo, mwaka juzi katimiza 40, kajiolesha kwa konda wa school bus aliyekuwa anafuata watoto wake!! (Kajiolesha sababu gharama zote kuanzia mahari mpaka harusi hadi makazi wanayoishi ni ya mwanamke)
Mpaka sasa kajitahidi, mwanaume ana biashara na amebadilika kutoka umtaa mtaa sasa hivi ni gentleman!!
Awahi chap...! Dec tumalizw mchezoNgoja nimwambie Mjukuu wangu achangamkie, watu kama ninyi ni wachache kupatikana 🤪