Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,974
- 35,341
Wali mchafu twataka kula bibie...fanya hima
Sawa rafiki yanguWali mchafu twataka kula bibie...fanya hima
Sawa rafiki yanguUkiwa na pesa labda vinginevyo ni maneno tunaona skuizi wanasema life begins at 40kwahiyo sio mbaya


Ndio nipo nae eti na hata simuelewitafuta kijana uliyemzidi umri![]()


Dah sponsor wa MD5 kumbe upo😂🤣🤣Ntasumbua sana waganga....sanaa
Dah ana maanisha yeye 😂🤣😂Ndio nipo nae eti na hata simuelewi![]()
Muone kijana wetu, aache ku kwea mnazi wake mwenyewe 😂🤣😂😉jamani
Muone kijana wetu, aache ku kwea mnazi wake mwenyewe![]()

huyo muache aendelee hivyo hivyo mwenyewe anadai anasave kibunda.Yuko sahihi, ku save kibunda muhimu🤒🤒. mshamba_hachekwi kwea mnazi kijana😂🤣.huyo muache aendelee hivyo hivyo mwenyewe anadai anasave kibunda.
Basi nitambulishe kwa Kelsea 😂🤣, na Mimi ni single and bahilist😂hahaha
kelsea ni dada yangu tunaheshimiana sana😂
Naendelea kutafuta pesa nakula napendeza, nanenepa.Wewe msichana umejipangaje usipoolewa?
Wew si ba angu mdogo kabisa wew au unahisi mim single maza ew😂😂😂na kuhonga vijana wadogo kina mshamba😋 si unaelewa mambo yao
Shauri ako kumbe hujui kuchanganua😂😂😂si uliniambia we ni shangazi nyonyo saa sita😅
Nimefanyaje??
Una olewa lini??Nimefanyaje??
Nanani ?umenipa bwana tajiriUna olewa lini??
Ohhh ko utabaki single milele😂🤣🤣Nanani ?umenipa bwana tajiri
Ohhh ko utabaki single milele😂🤣🤣
Nani akakudanganya mie siwezi sema maisha yangu sio ya hadharani .
Hiyo lifestyle lazima upige puchu nyege zitakuaNaendelea kutafuta pesa nakula napendeza, nanenepa.