Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,836
- 57,470
Hahaha..............Mimi kama Mzee wa Boma nitashughulikia hili faster.Awahi chap...! Dec tumalizw mchezo
Tukutane ofisi ya Waziri Mkuu kwaajili ya kukufanyia Usaili 🤪
Hahaha..............Mimi kama Mzee wa Boma nitashughulikia hili faster.Awahi chap...! Dec tumalizw mchezo
Mapeema sana mkwe!Hahaha..............Mimi kama Mzee wa Boma nitashughulikia hili faster.
Tukutane ofisi ya Waziri Mkuu kwaajili ya kukufanyia Usaili 🤪
Kwani kuolewa lazima?Mwanaume hata akiwa na miaka 100 anaweza akaoa akitaka Ila mwanamke daah akivuka 40 tu tayari jua limezama kuolewa ni ndoto za Ali Nacha
Sawa Mkwe, kikao kinasubiri uwepo wako ili kianze.Mapeema sana mkwe!
Kwa heshima yako mkwe nathibitisha kuwepo in 2 minSawa Mkwe, kikao kinasubiri uwepo wako ili kianze.
Tafadhali thibitisha uwepo wako mapema 😁
Njoo nikuoe basiKwani kuolewa lazima?
Ataoa mtiOngeza sautiiiiii kidogo![]()
sasa unajiuliza huyu mtu hadi kufika 40 kajitesa hivyo na EGO si bora angeolewa na miaka 30 tu angalau akapewa mtoto.Nyie ndiyo mnabeba sonona baya sana!!
Kuna binti alijifanya mrembo, mwaka juzi katimiza 40, kajiolesha kwa konda wa school bus aliyekuwa anafuata watoto wake!! (Kajiolesha sababu gharama zote kuanzia mahari mpaka harusi hadi makazi wanayoishi ni ya mwanamke)
Mpaka sasa kajitahidi, mwanaume ana biashara na amebadilika kutoka umtaa mtaa sasa hivi ni gentleman!!
Mmoja tu anatoshaNi ku adopt watoto watatu, na maisha yasonge
Kawaida binadamu maumbile yake na akili kama ni jambo ya kiasili anatambua AutomaticallyNina watinzama wanaosema ndoa sio lazima.Jana kulikuwa na kupindi fulani Nat-Geo inayo onyesha jinsi utapeli unavyo fanywa kupitia dating applications na watu kutoka West Africa.Wengi wanao fanyiwa ni vibibi 50+ na kuendelea na wengi wanalamika, walifikia uamuzi wa kujiunga kwenye dating apps sababu ya upweke na wote walio hojiwa wana hela ndefu.
Wale wana wa Ghana wanawapiga hela na tena wanatumia mpaka waganga wa kienyeji, wanachukua picha na jina lake then mganga anafanya yake ili muhusika atoe hela na jamaa wana zikusanya kweli kweli.
Sasa nyie ongeeni maneno ya kishujaa eti "sio lazima kuolewa......." kuna muda utafika na WAHUNI na UPWEKE vitakunyoosha pamoja na hela zako au kiburi chako.
Nimeipenda hii,,,Ntaoa
Nawatizamaga humu hasa dada zangu wanajidanganya tu humu. Ndoa ni muhimu kwa jinsia zote.Hicho kipindi nakifatilia sana mpaka aisee na ni kweli wanapigwa sana hela
Kuna dada nilikuwa naongea nae, actually jua linakuchwa kwake na hajaolewa!!Nina watinzama wanaosema ndoa sio lazima.Jana kulikuwa na kupindi fulani Nat-Geo inayo onyesha jinsi utapeli unavyo fanywa kupitia dating applications na watu kutoka West Africa.Wengi wanao fanyiwa ni vibibi 50+ na kuendelea na wengi wanalamika, walifikia uamuzi wa kujiunga kwenye dating apps sababu ya upweke na wote walio hojiwa wana hela ndefu.
Wale wana wa Ghana wanawapiga hela na tena wanatumia mpaka waganga wa kienyeji, wanachukua picha na jina lake then mganga anafanya yake ili muhusika atoe hela na jamaa wana zikusanya kweli kweli.
Sasa nyie ongeeni maneno ya kishujaa eti "sio lazima kuolewa......." kuna muda utafika na WAHUNI na UPWEKE vitakunyoosha pamoja na hela zako au kiburi chako.
Humu nikiona comment zao naona wanajipa moyo,ndani ya mioyo yao ukweli wanaujua.Kuna dada nilikuwa naongea nae, actually jua linakuchwa kwake na hajaolewa!!
Nilimwambia afanye mambo yake aachane na mawazo ya ndoa!! Akajibu hujui mateso ninayopitia, nimechukua mpaka watoto wa ndugu pengine watanipa faraja lakini imeshindikana!!
Nae awali hakutilia maanani swala la ndoa, ila linamtesa sana!! Upweke ni ugonjwa mbaya sana na hata hao vibibi ni sababu ya upweke mkuu!!