umbea...............

Last edited by a moderator:
Young Master hebu rudisha vile viatu vya watu ulichukua pale kwenye mtumba madai yake unaenda kujaribisha halafu ukapotelea pesa hujalipa wala viatu hurudisshi

kaumbea haka nako katamu kweli kweli hakakupaswa kutupita atiiii.............hivi cacico kasikia haya?
 
Last edited by a moderator:
subiri kwanza watoto walale maana umbeya wangu ni wa kikubwa
Si unawaona akina Young Master macho juu na hawajakua

khaaa! wewe nawe umezidi sasa haya utoto wa huyu Young_master ni upi? manake naskia anamiliki wake 3 na mahawara 6 ila wote kazi anasaidiwa.
 
Last edited by a moderator:
BAK hi kumbe hata wazungu wana gossip eeh! asante kwa kunipa chombeza.
 
Last edited by a moderator:
mie napita tu hapa......loh mna mambo mazito


 
watoto wa siku hizi, hawashindwi kufumba macho na kujifanya wamelala. Halafu huo umbea wa kikubwa usije ukanihatarishia penzi langu kwa Mentor

mmmh! kumbe Mentor anakumega eeh! hongera zake aisee anake nakumbuka ulisema wewe bikra kama like yako.
 
Last edited by a moderator:

Mpwa siku hizi unaangalia news hongera, najua kaunta za juu siku zote ni sebene tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…