Umbea wa Rais wa Yanga kwa Motsepe umeiponza Yanga

SAYVILLE

JF-Expert Member
Mar 25, 2010
5,138
7,907
Binadamu tumeumbwa kusahau. Yanga ilipoifunga Simba msimu huu, Rais wa Yanga Hersi Said alienda kujitapa kwa Rais wa CAF na mmiliki wa Mamelodi Sundowns Patrice Motsepe pamoja na Rais wa FIFA Infantino.

Kumbe Motsepe ni mshabiki mkubwa wa Meddie Kagere na anaijua ile kauli yake ya "mnafiki ishi naye kinafiki" akawa anamchora tu mwanetu, akampa hadi cheo bandia kama kile cha Naibu Waziri Mkuu.

Jana mzee mzima akamtumia message Mwenyekiti wa Vilabu Afrika akimwambia "sisi siyo milima, tumekutana", ameamua kutuma vijana wake kina Shalulile wapunguze kelele mjini na nadhani umbea pia utapungua kwa kiasi fulani.
 
Binadamu tumeumbwa kusahau. Yanga ilipoifunga Simba msimu huu, Rais wa Yanga Hersi Said alienda kujitapa kwa Rais wa CAF na mmiliki wa Mamelodi Sundowns Patrice Motsepe pamoja na Rais wa FIFA Infantino.

Kumbe Motsepe ni mshabiki mkubwa wa Meddie Kagere na anaijua ile kauli yake ya "mnafki ishi naye kinafki" akawa anamchora tu mwanetu, akampa hadi cheo bandia kama kile cha Naibu Waziri Mkuu.

Jana mzee mzima akamtumia message Rais wa Vilabu Afrika akimwambia "sisi siyo milima, tumekutana", ameamua kutuma vijana wake kina Shalulile wapunguze kelele mjini na nadhani umbea pia utapungua kwa kiasi fulani.
Utter trash.
 
Binadamu tumeumbwa kusahau. Yanga ilipoifunga Simba msimu huu, Rais wa Yanga Hersi Said alienda kujitapa kwa Rais wa CAF na mmiliki wa Mamelodi Sundowns Patrice Motsepe pamoja na Rais wa FIFA Infantino.

Kumbe Motsepe ni mshabiki mkubwa wa Meddie Kagere na anaijua ile kauli yake ya "mnafki ishi naye kinafki" akawa anamchora tu mwanetu, akampa hadi cheo bandia kama kile cha Naibu Waziri Mkuu.

Jana mzee mzima akamtumia message Rais wa Vilabu Afrika akimwambia "sisi siyo milima, tumekutana", ameamua kutuma vijana wake kina Shalulile wapunguze kelele mjini na nadhani umbea pia utapungua kwa kiasi fulani.
Kwa hiyo Simba kupangwa na Al Ahly wameponzwa na umbea wa nani? Mo Soap au Mo Energy?
 
Motsepe sio mmiliki wa mamelod, anyway mtasema ni mmiliki kwa sababu amemuachia uongozi nadhani mdogo ake
 
mambo yakienda tofauti msije mkalia lakini! hii yanga kumbuka inafukizisha makocha wa timu pinzani bila kutarajia!..
yanga yasasa inakusisimua pale ambapo hautaraa

mambo yakienda tofauti msije mkalia lakini! hii yanga kumbuka inafukizisha makocha wa timu pinzani bila kutarajia!..
yanga yasasa inakusisimua pale ambapo hautarajii!
Mambo Yakiwatofauti hawachelewi kusema Yanga wamechezesha majini😀😀😀
 
Binadamu tumeumbwa kusahau. Yanga ilipoifunga Simba msimu huu, Rais wa Yanga Hersi Said alienda kujitapa kwa Rais wa CAF na mmiliki wa Mamelodi Sundowns Patrice Motsepe pamoja na Rais wa FIFA Infantino.

Kumbe Motsepe ni mshabiki mkubwa wa Meddie Kagere na anaijua ile kauli yake ya "mnafiki ishi naye kinafiki" akawa anamchora tu mwanetu, akampa hadi cheo bandia kama kile cha Naibu Waziri Mkuu.

Jana mzee mzima akamtumia message Rais wa Vilabu Afrika akimwambia "sisi siyo milima, tumekutana", ameamua kutuma vijana wake kina Shalulile wapunguze kelele mjini na nadhani umbea pia utapungua kwa kiasi fulani.
acha uongo,hiyo ni draw kwahiyo ukiangalia kwa makini utajua timu zenye profile kubwa zimekutanishwa
 
Back
Top Bottom