Umasikini na aibu

Pole sana, ila nyakati ngumu hazidumu.

Ni wewe sasa kuvumilia kipindi hicho cha mpito
Kaka hali ilinipiga nikaona, isiwe KESI nilime mchicha, pale ULIPO mji wa serikali imejengwa makao makuu ya mahakama pale ka sikosei Hilo eneo nimepiga jembe hapo kulima mchicha enzi hizo hapajajengwa, weeee jembe unapiga linadunda njaaa Kali Hadi nataka kuanguka dahhh, alafu nimetoka kusimamishwa chuo maumivu yake moyoni daaaah
 
Siku utakayo wasamehe hao watu na kuachilia mambo yapite ndio siku Mungu atakayo fungua milango ya baraka kwako

Kila changamoto zina mwanzo na mwisho hakuna marefu yasio na ncha,

Kikubwa samehe
Oga
Vaa
Pendeza

Kingine, mwanaume anaekupenda kweli hawezi kukuomba nyuma yaani hawezi
 
Mi sioni kama kuna uhafueni kwakweli….tatz la akili ni kubwa sana…unakua una function ila linakuangamiza kama ukimwi au zaidi ukimwi..huwz kunielewa kwa sababu hujawai kupata iyo severe depression ni deadly sana… na kpnd icho ndo moyo wangu umeanza kuuma nilkue nimepata chance za kazi, ajira portal nilkua nimeitwa interview lkn mwili wangu ulkua huwz kunyanyuka…miguu nikama inakua kama imeshikwa ganzi unaitest kujua kama inawza kufnya kazi….unazimia,nguvu zinakuishia unaona ukae kwaza sehemu, upo kwny umati unaona kwanza utfte sehemu ulie,uwoga unaonkn kwnye sura yako,yaani huzuni wa kweli kweli, mikono inatetemeka ukjrbu ti kushika simu kujarbu kumpgia inatetemeka ki namna sijawai ona….. unakua mtu ambae sie acha kabsa inauwa…kpk miezi kama mi3 ipite ivi ndo kdg mwili wako untegneneza kinga…
Kwa mm naona bora nipate ttzo lolote ila sio severe depression.. mwili wako unagombana na akili yako na moyo wako vyote kuna vita kubwa ndani yako… unalia kwa sauti kama mjina moyo unashindwa ku istaimili…acha kbsa…. Akili ikitkswa kdg binadamu anaisha…….
Bahati nzuri hajaambukizwa ukimwi tena hao wa migodini geita wameua sana dada zetu wengi, naongea kama mwana geita napajua vizuri
kama
 
Pole.
Utaysahau.
Fanata Kila unaloweza kusahau
Ndio liwe lengo lako
 
Asirudi nyuma mkuu nakataa, hapo alipo abadili plan. 30 miaka sio mingi kwa mwanaume ila mwanamke mingi sana.

Swali: sasa hiv ana uwezo wa kufanya nn kiuchumi? Aseme hapa kama kuna watu kiko ndan ya uwezo wao humhumu
 
Kwa siku unalala masaaa mangapi? Unatkiwa unywe Azuma na amitriptiline angalau mwezi mmoja. Upate muda wa kulala mzuri baada ya kula vizuri!


Sasa unajishughulisha na nn
 
Pole sana kwa masaibu yako,hata hivyo sio mwisho wa dunia,kama binadamu tuna mapito yetu,ofcoz kuna muda ni ngumu kukubaliana na ukweli wa mambo lakini huwezi amini huwa yanapita,cha msingi hapa usikate tamaa,lakini acha kujifungia ndani,ondoa aibu ma toka ukutane na watu,maisha yana suprise nyingi na hutufundisha kwa njia ngumu..kila kioa hubadilika ndani ya sekunde,trust the process kila kitu kitakua sawa.
Gods plan is always better.
 
Kwakuwa umehisi una tatizo la akili ukweli ni kwamba huna tatizo la akili, wenye matatizo ya akili huwa hawajui kama wana tatizo la akili.

1. Usikate tamaa.
2. Usikate tamaa.
3. Usikate tamaa.
Asante nipo napambana
Asirudi nyuma mkuu nakataa, hapo alipo abadili plan. 30 miaka sio mingi kwa mwanaume ila mwanamke mingi sana.

Swali: sasa hiv ana uwezo wa kufanya nn kiuchumi? Aseme hapa kama kuna watu kiko ndan ya uwezo wao humhumu
hhmmmm!!
 
Asante dear
 
Amka uvae vizuri nenda katafute KAZI. Uwe busy sana utasahau. Usiogope kuanzia hata kwa mama ntilie ama saloon hizi za kiume.Njia ya Kazi nzuri itafunguka tu. Pia utapata mwanaume mwingine mzuri tu.
 
Kwa siku unalala masaaa mangapi? Unatkiwa unywe Azuma na amitriptiline angalau mwezi mmoja. Upate muda wa kulala mzuri baada ya kula vizuri!


Sasa unajishughulisha na nn
Asante sana kwa kunisaidia ukweli uwa silalai sana…. Zazngn nakesha usiku mzima.. nawaza tuu nakuja kupata ka uchingz kadogo mnoo saa11 umo na ynyw sio kwamba nimelala yenyw….nikama nimejipumzsha tuu ila nakua sijalala….sio tu kulala ata kula kwangu ni kama najilzmsha nawza kuvuka ata siku 3 sijala na nsisikie njaa…mwili huoni kama unanjaa kabsa ni kama pia ata mungu ananilazmsha kufunga bila kujua hehehe… yaan kula kwangu ni
Kwamba najilazmsha… ata nikila ata chips yai ynyw ninayonipenda sana inakua haina ladha mdomoni..na siumwi chochot zaidi ya moyo wangu….
Kwakweli kwa sasa nimerudi kwetu… sina kazi kwa sasa..nipo nymbn ila ndo natafta kazi saiv ndo swala nalo shugulikia saiv.
 
Utakaa sawa inshallah ila ulale sana, nenda hospitali mwmabie dokta akupe dozi ya amitriptiline na azuma unahitaj relaxation urudi kwenye state ya mwili wa kawaida. I hope itakusaidia kwa kiwango kikubwa san hiyo. Magum dunian hayaishi! Mm nilikumbana na ngum sana miaka tofaut tofauti.

Kubwa hasa mpasuko ndani ya familia ambao mpaka kesho bado upo na hauna majibu. Weka Cv yako hapa bila mawasiliano yako mtu akiwa na nafas akucheki. Mana jf watu wema wapo na mbuzimbuzi- Kima wapo kibao tu. Dipshits!
 
Sikudanganyi ndugu yangu..mm sjioni kabsa nikiwa mama ntilie na iyo kazi siiwezi heheh au saloon..usidhani si tambui ilo natambua ibd ata niende nifagie bara bara nipate miambili…naitaji kujianda kiakili sasa kua saivi naweza kuanza life ambalo nilikua silifikilii kabsa…kwanza kitendo cha mm kutokua na wazazi kumenkmbsha kua inabd nianze kua mgumu nifanye chochote maana ndo kuna tupesa kdg…ila sasa uthubutu ndo sina yaan kuna mda natenganga mda nasema sasa leo tenga masaa mawili yakuaa kuset akili kwamba ntaenda niuze viazi sehemu,nikae kama wamama niamke asbui mapema nikachukue viazi ntapata izo laki 1 na kitu kwa mwezi…..nijiandae kiakili kwamba rfk zangu na ndugu zangu wataniona nitengeneza njia za kukubaliana na iyo aibu aisee
Amka uvae vizuri nenda katafute KAZI. Uwe busy sana utasahau. Usiogope kuanzia hata kwa mama ntilie ama saloon hizi za kiume.Njia ya Kazi nzuri itafunguka tu. Pia utapata mwanaume mwingine mzuri tu.
fan
Asante sana mkuu…poleni na matatzo kifamilia…tftn mtu awasuluishe matatzo yenu
 
We did it! No hard feeling at all. Kila mtu maisha yake yanaenda bila mwingine. So let keep rise and shine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…