Umasikini na aibu

Umasikini na aibu

That's not brutal it's a compliment 👌

So welcome heroine

Mwambie afwatilie historian za kina Oprah whinfrey huko. Ila sometimes ukiwa ndani ya dark moment huwezi ona nje na ndo situation ya mleta mada. Na kiendelea kukaa hivyoo atamkumbuka shuka uzeeni
Kweli kina Ophrah wana historia hadi za kubakwa…

Anyways anahitaji msaada wa kuamini na kukubali kuwa anaweza kuanza upya.

Msaidie basi, nimesoma maelezo yake marefu marefu, ni mtu ambaye anaelewa mambo mengi kuhusu yeye ila hayuko tayari kufanyia kazi.

Sitaki kuminimize matatizo yake, maana tunatofautiana namna ya kurespond katika matatizo.

Her great loss ni hiyo misiba, ila kuachana na huyo mwanaume mshenzi wala hajapoteza kitu.
 
Kweli kina Ophrah wana historia hadi za kubakwa…

Anyways anahitaji msaada wa kuamini na kukubali kuwa anaweza kuanza upya.

Msaidie basi, nimesoma maelezo yake marefu marefu, ni mtu ambaye anaelewa mambo mengi kuhusu yeye ila hayuko tayari kufanyia kazi.

Sitaki kuminimize matatizo yake, maana tunatofautiana namna ya kurespond katika matatizo.

Her great loss ni hiyo misiba, ila kuachana na huyo mwanaume mshenzi wala hajapoteza kitu.
Mimi huwa naona predicament ndio kama mlango wa kufungua purpose yako, most heros journeys huwa ni ngumu kumeza.

Mimi Tyr nilimpa POV yangu nikamwambia hiyo ina layers nyingi na ku peel layer zote kwa pamoja haiwezekani. Masidie tuu, since you both are women itakuwa poa zaidi.

Loss ni moja ya ingridient nzuri Sana kwenye trauma arausal. Inabidi aanze na hapo
 
Kinyongo na hasira juu ya mtu ni sawa na mtu kuchukua sumu na kuinywa kisha akaenda kulala ajitarajia kesho asubuhi atapata taarifa ya msiba wa mtu aliyemwekea kinyongo na hasira.
Kuna kitu kinakula watu katika familia yenu, usipompata mtu wa kiroho aliyekaa na Mungu vizuri mbele yako kuna kiza.
 
Liana N I hope unaendelea vyema, nikusihi tu leo jpili nenda kanisani kama itawezekana. Kanisani kuna jamii ya watu watakao kupokea unconditionally, hata kama sio nearby nenda hata mbali kidogo na mazingira ya home.
 
Pole sana Liana N nilisoma historia yako ijumaa. Jumamosi usiku napokea voice not tooookaaa mbali huko jamaa kammwaga bibie. Bint m Tanganyika men ni M Congo aisee.

Teena jamaa kachukua dogodogo kweli wa miaka 22 up 26 hapo anamrusha roho huko status balaa.

Baasi vulu vulu tunaongea mpk asubuhi tumefikiq muafaka tumuache tuu ila anasema hawezi nimemwambia jiatqhidi pole pole yataisha ni mapenzi yanaingia polepole na kutoka polepole.
 
Pole sana mrembo, hachana na huyo fala wa ki Australia yeye ameshinda wewe umeshindwa,ulikua mtumwa kwake ukaonekana haufai kwaajili yake(tigo) ila akaamua kukataa.Kama walivyo kublock wewe pia fanya hivyo hivyo usifuatilie mambo yao naamini utapona.

Suala la umri lisikuwazishe wengi tunapitia hii changamoto hauko pekee yako
 
Achaana na mitandao ya kijamii.
Jitoe huko Kwa muda,futa acc zako deactivate
Tafuta kazi ya kufanya ikuweke bize
Utasahau yote

Pole sana Liana N nilisoma historia yako ijumaa. Jumamosi usiku napokea voice not tooookaaa mbali huko jamaa kammwaga bibie. Bint m Tanganyika men ni M Congo aisee.

Teena jamaa kachukua dogodogo kweli wa miaka 22 up 26 hapo anamrusha roho huko status balaa.

Baasi vulu vulu tunaongea mpk asubuhi tumefikiq muafaka tumuache tuu ila anasema hawezi nimemwambia jiatqhidi pole pole yataisha ni mapenzi yanaingia polepole na kutoka polepole.
mwambie aandike hivi km mm humu jamii forum…
Apate comments zote mbaya na nzuri….

Mm kwangu imenifanyia tulizo kwa kiasi kizuri… nimepata uwafuane na watu wamenifuata Dm na kunishauri wngn wananipa ushuhuda……

itamsaidia nafikili….na pia kama ameamua kufanya hivi aiandae akili yake kua sio comments zote zitakua nzuri….mm nilijipanga kua ntakutana na comments ambazo sio nzuri na nilitegemea zote zitakua mbaya…

niliitaji mawazo ya watu tofauti maana nilikua najiona nalemewa mwnyw…..niliona niwe tu muazi maana hayupo anaenijua…
 
mwambie aandike hivi km mm humu jamii forum…
Apate comments zote mbaya na nzuri….

Mm kwangu imenifanyia tulizo kwa kiasi kizuri… nimepata uwafuane na watu wamenifuata Dm na kunishauri wngn wananipa ushuhuda……

itamsaidia nafikili….na pia kama ameamua kufanya hivi aiandae akili yake kua sio comments zote zitakua nzuri….mm nilijipanga kua ntakutana na comments ambazo sio nzuri na nilitegemea zote zitakua mbaya…

niliitaji mawazo ya watu tofauti maana nilikua najiona nalemewa mwnyw…..niliona niwe tu muazi maana hayupo anaenijua…
Ntamshauri afanye km atakubali itakuwa nzuri sana
 
Kwa siku unalala masaaa mangapi? Unatkiwa unywe Azuma na amitriptiline angalau mwezi mmoja. Upate muda wa kulala mzuri baada ya kula vizuri!


Sasa unajishughulisha na nn
usije kumshauri mtu mwenye depression kumeza amitriptylin hii dawa inaweza kumpelekea apate maruweruwe na hata hisia za kujiua huongezeka...naongea nikiwa na experience ya kutosha juu ya hizi dawa
 
swali langu ni kuwa....


Umefanya anal sex kwa muda gani na huyo mzungu wako? Nadhani hii ni moja ya trauma unazozipata kutokana na hili suala...Yaani ulimpa yote akakufi...a vya kutosha halafu mwisho wa siku kakutema..

hebu tueleze bibie
 
Asanteni nyote kwa mawazo yenu na ushauri…
Mabadiliko kwnye nafsi yangu ninayaona sana baada yakuandika hivi…na kupati maoni tofauti…

saivi nalala, moyo wangu haupapuki tena pale nikiwaoni awo watu kwny mitandao..nilifata ushauri wenu wakufuta account zangu zote nimefanya ivyo

ila nimepatwa shauku yakujua km bado moyo wangu utaweweseka nikiwaona nmegoogle nikaona maendeleo yao na uyo binti kajifungua… lkn moyo wangu hausumubuki tena kama apo zaman umetulia sana…..

Hii yote ni kwa watu walionifata inbox na wengn waliotoa maoni yao….

Lakini pia sasa nipo tayari kufanya na kazi.. naona km nimeupata uafueni nakukubali kuishi maisha yangu..

Asanteni sana na
Mbarikiwe sana……
 
Pole sana sister, situation ya kupoteza kila kitu naielewa nmepitia kila mtu anakuona hufai…lakini naomba nikushauri kitu na kwa dhati kabisa ya moyo wangu nasema hivi kama shuhuda…wengi huwa tukikosea au kufanya dhambi kubwa tunakua mbali sana kiimani, ila Mungu ukifanya toba kwa dhati kabisa anasamehe…anza upya jipe muda kuwa karibu na maombi kwa imani yako, Muombe sana Mungu yan sana aisee…toa sadaka, Funga omba hitaji lako…ukifanya hivi vitu kwa imani njoo utoe ushuhuda humu…nimejifunza matatizo Mungu anaruhusu sisi tupitie ili tujifunze na kuwa imara mbeleni…kila la heri 🙏🏽
 
Pole sana sister, situation ya kupoteza kila kitu naielewa nmepitia kila mtu anakuona hufai…lakini naomba nikushauri kitu na kwa dhati kabisa ya moyo wangu nasema hivi kama shuhuda…wengi huwa tukikosea au kufanya dhambi kubwa tunakua mbali sana kiimani, ila Mungu ukifanya toba kwa dhati kabisa anasamehe…anza upya jipe muda kuwa karibu na maombi kwa imani yako, Muombe sana Mungu yan sana aisee…toa sadaka, Funga omba hitaji lako…ukifanya hivi vitu kwa imani njoo utoe ushuhuda humu…nimejifunza matatizo Mungu anaruhusu sisi tupitie ili tujifunze na kuwa imara mbeleni…kila la heri 🙏🏽
Asante ndugu yangu…. Ntajitaidi kuomba kwa iman yangu…Mungu akinisamehe na akiamua kunibariki ntarudi kutoa ushuhuda…
Ubarikiwe sana sana
 
Asanteni nyote kwa mawazo yenu na ushauri…
Mabadiliko kwnye nafsi yangu ninayaona sana baada yakuandika hivi…na kupati maoni tofauti…

saivi nalala, moyo wangu haupapuki tena pale nikiwaoni awo watu kwny mitandao..nilifata ushauri wenu wakufuta account zangu zote nimefanya ivyo

ila nimepatwa shauku yakujua km bado moyo wangu utaweweseka nikiwaona nmegoogle nikaona maendeleo yao na uyo binti kajifungua… lkn moyo wangu hausumubuki tena kama apo zaman umetulia sana…..

Hii yote ni kwa watu walionifata inbox na wengn waliotoa maoni yao….

Lakini pia sasa nipo tayari kufanya na kazi.. naona km nimeupata uafueni nakukubali kuishi maisha yangu..

Asanteni sana na
Mbarikiwe sana……
Pole sana, nina uzi humu una kazi za kila aina unaweza kuutafuta in case ukihitaji!
 
Back
Top Bottom