Umakini unahitajika kwenye hii Mitandao

Umakini unahitajika kwenye hii Mitandao

Kwangu nakukatalia kama ifuatavyo...

1. Mimi ni Choka Mbaya JF nzima

2. Mimi nipo nipo tu JD nzima

3. Mimi ndiyo mwana JamiiForums pekee niishiye Kiuhalisia

4. Mimi ndiyo mwana nisiye na Ajira ya maana

5. Mimi ndiyo mwana JamiiForums Mshamba na niishie Kijijini kuliko Wote

6. Mimi ndiyo mwana ambaye sijasoma kama walivyosoma wana JamiiForums wote hapa

7. Mimi ndiyo mwana JamiiForums nisiye na Baiskeli, Guta, Pikipiki, Gari na Nyumba kuliko wana JamiiForums wote.

Nasubiri Maua yangu kwa huu Uwazi.
Intellectual,pure talented,charismatic fella and game changer?
Uliyesoma SAUT chuo kikuu bora Tanzania?u can't be serious man


Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom