Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 19,717
- 62,666
😃😃🤣🤣🤣🙌Na ndio kilicho sababisha nikamuandalia A4...😝
😃😃🤣🤣🤣🙌Na ndio kilicho sababisha nikamuandalia A4...😝
Mb zangu zinaisha leo usiku mkuu, mie sitaki kabisa shari...[emoji41]
Fafanua.Usipokuwa Makini Na Hii Mitandao Unaweza Muonea Wivu Mtu Unayetakiwa Kumuonea huruma.
Jirani mimi ngoja nitulie [emoji4][emoji850]
Ngoja nishike jembe nikalimeMimi nakuangalia tu ushimen anakuchuza [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Baby wake akija wanapatana ugomvi unabaki kwako
Ngoja nishike jembe nikalime
KIla mtu hua anapenda kuonekana yuko vizuri kuliko uhalisia. Ndio maana hata ukimkuta mgonjwa kalala hospitalini ukamuuliza "habari yako?" Atakujibu "nzuri tu.."Usipokuwa Makini Na Hii Mitandao Unaweza Muonea Wivu Mtu Unayetakiwa Kumuonea huruma.
Kwangu nakukatalia kama ifuatavyo...
6. Mimi ndiyo mwana ambaye sijasoma kama walivyosoma wana JamiiForums wote hapa
7. Mimi ndiyo mwana JamiiForums nisiye na Baiskeli, Guta, Pikipiki, Gari na Nyumba kuliko wana JamiiForums wote.
Nasubiri Maua yangu kwa huu Uwazi.
Tatizo hata tukijitangaza kina kapuku, mnasema, kama ni kapuku mbona una uwezo wa kununua bando?Usipokuwa Makini Na Hii Mitandao Unaweza Muonea Wivu Mtu Unayetakiwa Kumuonea huruma.
Wakihitajika waliosoma hasa damn Fool Mmoja kama Wewe utajitokeza kweli?Kusoma umesoma sema umesoma chuo uchwara, chuo cha hovyo kuliko wote humu JF.
Ni wapi nimesema hayo? Nilichosema wewe ndo umesoma ila chuo cha hovyo.Wakihitajika waliosoma hasa damn Fool Mmoja kama Wewe utajitokeza kweli?
Sasa maisha halisi yatupige na maisha ya mtandaoni nayo yatupige...huo utakuwa ujingaHumu kila mtu boss 😃😃
bora umaskini uishie mtaani sio😂😂😂Sasa maisha halisi yatupige na maisha ya mtandaoni nayo yatupige...huo utakuwa ujinga
Nimecheka kwa sauti jamani 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kuna jamaa anauza duka la nguo la shemeji yake Tabata.
Yule mshkaji ninajua kwa hakika kabisa kuwa analala store nyumbani kwa dada yake. kila mtu anajua nguo zake kwa maana ni chache mno.
Ingia instagram yake sasa, kwanza kama sikosei anajiita either 'don' ama 'rich boy'. ZIle nguo anazouza ana kazi ya kuzivaa na kupiga picha na kupost instagram. Karibu ya duka la shemeji kuna pub moja kubwa sana, hapo ndipo anapofanyia photoshoot zake.
Ukipitia picha zake unaweza hata mlaumu Mungu juu ya umaskini wako, ila fuatilia ukweli sasa ni lazima utamuonea huruma.
Hana off, anapiga kazi j3 mpaka j3 saa mbili asubuhi mpaka 3 usiku.
Siyo kweli,huku kuna mtu anaitwa kapuku mwingine anaitwa Mzee wa stendi,nadhani hujawafahamu.Humu kila mtu boss 😃😃
Umenikumbusha mkuu.Wanasema kujiita masikini, ni kujilaani mwenyewe; unatakiwa ujimwambafai ili kuongeza roho ya upambanaji
Asante sana MkuuUsipokuwa Makini Na Hii Mitandao Unaweza Muonea Wivu Mtu Unayetakiwa Kumuonea huruma.
Sawa Itabidi niwatafute😊😊Siyo kweli,huku kuna mtu anaitwa kapuku mwingine anaitwa Mzee wa stendi,nadhani hujawafahamu.