Umakini unahitajika kwenye hii Mitandao

Umakini unahitajika kwenye hii Mitandao

Jamii Forum inaweza kukufanya ujione mbwa aseee, uone umechelewa !! Ndo maana me nikishasoma heading ya mtu nikaona ina mambo ya Kujidai huwa naipita kimya kimya !! Mara nimefanikiwa kumjengea mama yangu nyumba before 25, mwingine nilimiliki mil 50 kabla ya miaka 25 😂😂😂 wakati wewe huku lunch inaliwa katikati ya Siku ili ubalance hadi kesho !!! Na wengi wao huwa hawatoi solution au mbinu ! Hela tunatafuta ila ukianza kujichanganya kufuata mkumbo unaweza hata ukauza Drugs
Hatukatai mnatuinspire ila mkwara umezidi !!
Bora ukae kwenye mada pendwa za mahusiano, watu wanavyochakatana!! Unapunguza stress
 
Kuna jamaa anauza duka la nguo la shemeji yake Tabata.

Yule mshkaji ninajua kwa hakika kabisa kuwa analala store nyumbani kwa dada yake. kila mtu anajua nguo zake kwa maana ni chache mno.

Ingia instagram yake sasa, kwanza kama sikosei anajiita either 'don' ama 'rich boy'. ZIle nguo anazouza ana kazi ya kuzivaa na kupiga picha na kupost instagram. Karibu ya duka la shemeji kuna pub moja kubwa sana, hapo ndipo anapofanyia photoshoot zake.

Ukipitia picha zake unaweza hata mlaumu Mungu juu ya umaskini wako, ila fuatilia ukweli sasa ni lazima utamuonea huruma.

Hana off, anapiga kazi j3 mpaka j3 saa mbili asubuhi mpaka 3 usiku.
Tupe Jina lake tu follow
 
Jamii Forum inaweza kukufanya ujione mbwa aseee, uone umechelewa !! Ndo maana me nikishasoma heading ya mtu nikaona ina mambo ya Kujidai huwa naipita kimya kimya !! Mara nimefanikiwa kumjengea mama yangu nyumba before 25, mwingine nilimiliki mil 50 kabla ya miaka 25 [emoji23][emoji23][emoji23] wakati wewe huku lunch inaliwa katikati ya Siku ili ubalance hadi kesho !!! Na wengi wao huwa hawatoi solution au mbinu ! Hela tunatafuta ila ukianza kujichanganya kufuata mkumbo unaweza hata ukauza Drugs
Hatukatai mnatuinspire ila mkwara umezidi !!
Bora ukae kwenye mada pendwa za mahusiano, watu wanavyochakatana!! Unapunguza stress
Mkuu hivi mpaka Leo Kuna watu wanahangaika na chakula? Kweli ukiwa na pesa hata njaa huskii
 
Jeiefu mtu ni Engineer or Doctor yupo taasisi flani ya kiserikali ana gari, Nyumba, mke na watoto wawili wanasoma English medium

MUNGU atusamehe kwa dhambi ya uongo
Humu Kuna mtu kaja pm muda kweli, kuchat kaniambia mi engineer, nikazani muongo Kama tunavyojua watu wa humu, kumfatilia kwenye list ya mainjinia Tanzania yupo jina lake, wengine wakweli kabisa.
 
Back
Top Bottom