OkyHuwezi mpata hapa amini hivyo
OkyHuwezi mpata hapa amini hivyo
Mbona mimi ni masikini na inafahamika?Humu kila mtu boss 😃😃
Vipi umekutana na Ex wako?Usipokuwa Makini Na Hii Mitandao Unaweza Muonea Wivu Mtu Unayetakiwa Kumuonea huruma.
8. Wewe ndio mwana jf unaetukana watu wakikosoa utumbo unaowaleteaKwangu nakukatalia kama ifuatavyo...
1. Mimi ni Choka Mbaya JF nzima
2. Mimi nipo nipo tu JD nzima
3. Mimi ndiyo mwana JamiiForums pekee niishiye Kiuhalisia
4. Mimi ndiyo mwana nisiye na Ajira ya maana
5. Mimi ndiyo mwana JamiiForums Mshamba na niishie Kijijini kuliko Wote
6. Mimi ndiyo mwana ambaye sijasoma kama walivyosoma wana JamiiForums wote hapa
7. Mimi ndiyo mwana JamiiForums nisiye na Baiskeli, Guta, Pikipiki, Gari na Nyumba kuliko wana JamiiForums wote.
Nasubiri Maua yangu kwa huu Uwazi.
Usipokuwa Makini Na Hii Mitandao Unaweza Muonea Wivu Mtu Unayetakiwa Kumuonea huruma.
Dawa yake nipoUkiwasikiliza hawa vijana wa Sasa unaweza kusema wewe ni masikini Sana .
Hawa akina mpwayungu village wao ni kutukana tuu wanaolipwa chini ya million!!
Tuma sample kwanzaWakuu Mimi nahitaji kazi ya upishi, Nina uzoefu miaka 7 najua kupika (bite&smack's)
Asante
Kwa usivyo na Akili unategemea kweli ukijaa katika 18 zangu nisikupe Dozi zangu Mujarab kabisa?8. Wewe ndio mwana jf unaetukana watu wakikosoa utumbo unaowaletea
9. Wewe ndio mwanajf unaetaka kila unaposafiri ukae seat jirani na pisi
10. Loading...
Bora umesema ukweliKwangu nakukatalia kama ifuatavyo...
1. Mimi ni Choka Mbaya JF nzima
2. Mimi nipo nipo tu JD nzima
3. Mimi ndiyo mwana JamiiForums pekee niishiye Kiuhalisia
4. Mimi ndiyo mwana nisiye na Ajira ya maana
5. Mimi ndiyo mwana JamiiForums Mshamba na niishie Kijijini kuliko Wote
6. Mimi ndiyo mwana ambaye sijasoma kama walivyosoma wana JamiiForums wote hapa
7. Mimi ndiyo mwana JamiiForums nisiye na Baiskeli, Guta, Pikipiki, Gari na Nyumba kuliko wana JamiiForums wote.
Nasubiri Maua yangu kwa huu Uwazi.
Mpwayungu analipwa 2.5M per month na shirika lisilo la kiserikaliUkiwasikiliza hawa vijana wa Sasa unaweza kusema wewe ni masikini Sana .
Hawa akina mpwayungu village wao ni kutukana tuu wanaolipwa chini ya million!!
Kuna Siku umewahi kuona nikiongopa?Bora umesema ukweli
Hicho kibwagizo kinanipa mashaka juu ya ubingwa kama bado upoKwa usivyo na Akili unategemea kweli ukijaa katika 18 zangu nisikupe Dozi zangu Mujarab kabisa?
Hovyooooooo.....!!!!!!
Ubingwa wa Wewe Kufukuliwa Nyabe au?Hicho kibwagizo kinanipa mashaka juu ya ubingwa kama bado upo
Kama nimebwagiza. Ila pitia comments tu utakapokutana na kibwagizo ni huyohuyoUbingwa wa Wewe Kufukuliwa Nyabe au?
Basi pole,,, ndo ujue wenzio sisi maboss😃😃Mbona mimi ni masikini na inafahamika?
Nenda makapuku forum wamejazana huko 😂😂Kula mtu tajiri jamii
Kila mtu msomi
Kila mtu kawekeza
Kila mtu anafanya kazi nzuri.
Nauliza hivi nani kapuku huku???
SijaonaKuna Siku umewahi kuona nikiongopa?
Jirani habari yako🙋♀️🙋♀️🤣🤣Kabisaa tena inatakiwa umpe msaada [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jirani habari yako[emoji2320][emoji2320][emoji1787][emoji1787]
Sasa 'Genye' za nini?Sijaona