Jumanne Mwita
JF-Expert Member
- Nov 18, 2014
- 424
- 1,044
Usipokuwa Makini Na Hii Mitandao Unaweza Muonea Wivu Mtu Unayetakiwa Kumuonea huruma.
Kweli kabisa kuna kitu kinaitwa psychological social proof ndio kinatutesa vijana wengi.Usipokuwa Makini Na Hii Mitandao Unaweza Muonea Wivu Mtu Unayetakiwa Kumuonea huruma.
Huwezi mpata hapa amini hivyoKula mtu tajiri jamii
Kila mtu msomi
Kila mtu kawekeza
Kila mtu anafanya kazi nzuri.
Nauliza hivi nani kapuku huku???
JF sio FacebookUsipokuwa Makini Na Hii Mitandao Unaweza Muonea Wivu Mtu Unayetakiwa Kumuonea huruma.
Kapuku niko hapa sina kitu naokota makopo mtaani napima kwa wanunuaji kama kuna kibarua cha kulima nalima na ninaishi chumba cha giza makapuku tupo sema tunapqmbqna tutoke kimaisha wakuuHumu kila mtu boss 😃😃
Kuna muda nilikuwa na hitaji mtu kama wewe sema nikapata muda umeenda sema fresh tutawasiliana.Wakuu Mimi nahitaji kazi ya upishi, Nina uzoefu miaka 7 najua kupika (bite&smack's)
Asante
Hongera sema hii mitandao inakuza watu, wengine kula yao ni shida ila humu unaweza sema anamiliki vituKapuku niko hapa sina kitu naokota makopo mtaani napima kwa wanunuaji kama kuna kibarua cha kulima nalima na ninaishi chumba cha giza makapuku tupo sema tunapqmbqna tutoke kimaisha wakuu
Ngoja waje wanaomiliki mashamba watakupa kazi mkuuKapuku niko hapa sina kitu naokota makopo mtaani napima kwa wanunuaji kama kuna kibarua cha kulima nalima na ninaishi chumba cha giza makapuku tupo sema tunapqmbqna tutoke kimaisha wakuu
WATAJE saaaaasaHongera sema hii mitandao inakuza watu, wengine kula yao ni shida ila humu unaweza sema anamiliki vitu
Wanasema kujiita masikini, ni kujilaani mwenyewe; unatakiwa ujimwambafai ili kuongeza roho ya upambanajiHumu kila mtu boss 😃😃
Kama hivyo sawa 😊Wanasema kujiita masikini, ni kujilaani mwenyewe; unatakiwa ujimwambafai ili kuongeza roho ya upambanaji
Ukiwasikiliza hawa vijana wa Sasa unaweza kusema wewe ni masikini Sana .Kula mtu tajiri jamii
Kila mtu msomi
Kila mtu kawekeza
Kila mtu anafanya kazi nzuri.
Nauliza hivi nani kapuku huku???
MpwayunguWATAJE saaaaasa
Nimtag hapa una uhakika kweli?Mpwayungu
Kwangu nakukatalia kama ifuatavyo...Kula mtu tajiri jamii
Kila mtu msomi
Kila mtu kawekeza
Kila mtu anafanya kazi nzuri.
Nauliza hivi nani kapuku huku???