ULOZI: Mbeya mnafaidikaje?

mbeya kuna makanisa kila kona lakini wanaongoza kwa uchawi
 

Hilo ni tatizo kubwa zaidi ya Mkoa wa Mbeya peke yake. Kwa mfano najiuliza nani alikuwa anafaidika na biashara ya viungo vya walemavu wa ngozi?
Ya bwana Komba wa Songea na nyoka wake ambaye inasemekana alikuwa anaenda naye mpaka kazini....
Tamaduni zetu nyingi zimetufanya wanafiki...kwa nje tunapenda kuonekana tunaabudu dini au ukristu au uislamu au nyingine zenye kupingana na mambo ya kishirikina. Ila kwa siri ni wafuasi wakubwa wa ushirikina na mambo yake.
 
Kuna siku usiku tulikua tunatoka harusini km saa sita hivi...
Tukakuta nazi km 50 na zaidi zimevunjwa katikati ya njia panda fulani mtaa siufahamu kwa jina kuelekea coco beach zimechorwa kiarabu na wino mwekundu..nikawaza huyu mtu kamwaga saa ngpi na ile njia haikosi magari
 
Mtoa mada nahisi una chuki binafsi na wanyakyusa, Mbeya wanyakyusa wanaomiliki biashara kubwa wanahesabika. We unafikiri kila mtu mbeya ni mnyakyusa. Hata huko mbarari wakazi wake ni wasangu. 70% ya wafanyabiashara mbeya ni akina Sanga na hata ukiuliza top ten ya makabila yanayosifika kwa biashara Tanzania sidhani kama wanyaki watakuwemo. Kinachowaponza wanyakyusa ni kuongea sana lugha yao hadharani kitu kinachofanya mbeya ionekane ni yao peke yao. Wasafwa ni wengi sana ila hawaongei lugha yao hovyo hivyo huonekana wapo wachache lakini ukienda uyole na mbalizi wao ni zaidi ya 60%
 

Mkuu hawa wanyakyusa ndivyo walivyo. Ni watu waliojaa wivu na ukabila wa kutisha. Uchawi, unafiki na ukatili ndiyo rangi yao. Ukiwaona wanachecka chaeka, wanatafuta jambo. Siyo watu wale mkuu. Kaa nao kwa akili.
 
Nyani Ngabu kumbe tusi?
 
NGOJA Niwe MNYAKYUSA kwa muda labda mtanielewa: Wenzetu kaskazini wanashindania maendeleo sisi wanyakyusa tumekalia UCHAWI. Haikubaliki hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…