FLASH HIDER
JF-Expert Member
- Jul 13, 2012
- 397
- 501
- Thread starter
- #81
Ukigusia madini ya DRC napenda kukushakikishia kuwa naijua vizuri sana maana ndiyoinayoniweka mjini. Ni kweli Rwanda wananufaika sana na madini ya RDC. Sina uhakika na uhusika wa USA moja kwa moja na madini ya DRC ila wana urafiki wa damu na RWANDA. Ninachokiona mimi ni kuwa jamaa hawana interest tena na Rwanda (Kumbuka they have only permanet interest but not permanent friend).
Kwani si inasemekana marekani anashiriki kwa kiasi kikubwa sana kufanya wizi wa madini congo,kimetokea nini mpaka akaamua kumbadilikia m23(rwanda) aliyeko on ground kupiga mzigo?