MSHINO
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 1,067
- 709
Huyo afisa aliyefairki ni mwingine tofauti na yule wa miezi iliyopita? au ndiyo yule yule? tunaambiwa kuwa jeshi letu linalinda amani tu haliko front kuna ukweli?
Nasikia amani ya kweli haiwezi kupatakana bila paul Kgame kutolewa madarakani, na hii vita itaishia ilikoanzia yaana Rwanda. tunataka kumtia adabu huyu rais mwenye damu za watu na anayetishia kumuaa rais wetu,
tunafikir vita hii mwisho wake ni kigari unasemaje?
Tunashukuru kwa taarifa kwa sababu baba na kaka zetu wapo huko, inshallah MUNGU atawasaidia.
Nasikia amani ya kweli haiwezi kupatakana bila paul Kgame kutolewa madarakani, na hii vita itaishia ilikoanzia yaana Rwanda. tunataka kumtia adabu huyu rais mwenye damu za watu na anayetishia kumuaa rais wetu,
tunafikir vita hii mwisho wake ni kigari unasemaje?
Tunashukuru kwa taarifa kwa sababu baba na kaka zetu wapo huko, inshallah MUNGU atawasaidia.