Kama M23 wanazidi kusonga mbele kwa kupata ushindi, Majeshi ya DRC & EAC yameenda kufanya kazi gani?

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,115
49,833
Hivi hao M23 Wana Nguvu kiasi gani Hadi wanawazi Majeshi ya DRC na Washirika wa EAC?

Hivi DRC inajitambua kweli? Lile beat la Felix Tshisekedi kwamba ataishambulia Rwanda limeishia wapi wakati M23 Wanazidi kusogelea Mji wa Goma na maelfu ya watu kukimbia?

Hii ni aibu kubwa sana Kwa Linchi kubwa kama DRC kupelekeshwa na kanchi ka Rwanda.

==

Makabiliano DRC: Wasiwasi waikumba Goma huku kundi la M23 likipiga hatua​


Emile Bolingo hana uhakika kuhusu muda ambao yeye na wakazi wengine wa mji wa Goma, uliopo mashariki mwa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo, wataweza kustahimili hali inayowakumba.

Mji huu mkuu na ambao ni muhimu katika eneo hili, ambalo lina wakazi milioni mbili, limekatizwa kwa siku kadhaa na maeneo ya mashambani ambayo ndio panapotokea chakula kinachowalisha wakazi wake.

Hii ndio hali ya hivi karibuni ya kuzuka kwa ghasia na mapigano ambayo yamewasababisha watu zaidi ya milioni saba kuwa wakimbizi wa ndani na kuhama makazi kwa sababu ya vita vya mara kwa mara.

Waasi kutoka kundi la M23 ambalo linaongozwa na jamii ya AbaTutsi wamefunga barabara mbili kuu zinazoingia na kutoka Goma kwa upande wa Kaskazini na magharibi na kutatitza hatua za kuingiza chakula mjini humo.

‘Tunaogopa kwamba tutakabiliwa na njaa ikiwa jeshi la DRC halitakomboa hata angalau barabara moja kati ya hizo mbili kuu hivi karibuni. Unaweza kuhisi hali ya wasiwasi ilivyojaa huku…watu wameogopa sana,’ Bolingo aliiambia BBC.

Mundeke Kandundao, ambaye ni mwendeshaji bodaboda, amefanyiwa upasuaji hivi karibuni baada ya kuathirika kwenye shambulizi la kombora.

BBC Swahili
 
Hivi hao M23 Wana Nguvu kiasi gani Hadi wanawazi Majeshi ya DRC na Washirika wa EAC?

Hivi DRC inajitambua kweli? Lile beat la Felix Tshisekedi kwamba ataishambulia Rwanda limeishia wapi wakati M23 Wanazidi kusogelea Mji wa Goma na maelfu ya watu kukimbia?

Hii ni aibu kubwa sana Kwa Linchi kubwa kama DRC kupelekeshwa na kanchi ka Rwanda.

==

Makabiliano DRC: Wasiwasi waikumba Goma huku kundi la M23 likipiga hatua​


Emile Bolingo hana uhakika kuhusu muda ambao yeye na wakazi wengine wa mji wa Goma, uliopo mashariki mwa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo, wataweza kustahimili hali inayowakumba.

Mji huu mkuu na ambao ni muhimu katika eneo hili, ambalo lina wakazi milioni mbili, limekatizwa kwa siku kadhaa na maeneo ya mashambani ambayo ndio panapotokea chakula kinachowalisha wakazi wake.

Hii ndio hali ya hivi karibuni ya kuzuka kwa ghasia na mapigano ambayo yamewasababisha watu zaidi ya milioni saba kuwa wakimbizi wa ndani na kuhama makazi kwa sababu ya vita vya mara kwa mara.

Waasi kutoka kundi la M23 ambalo linaongozwa na jamii ya AbaTutsi wamefunga barabara mbili kuu zinazoingia na kutoka Goma kwa upande wa Kaskazini na magharibi na kutatitza hatua za kuingiza chakula mjini humo.

‘Tunaogopa kwamba tutakabiliwa na njaa ikiwa jeshi la DRC halitakomboa hata angalau barabara moja kati ya hizo mbili kuu hivi karibuni. Unaweza kuhisi hali ya wasiwasi ilivyojaa huku…watu wameogopa sana,’ Bolingo aliiambia BBC.

Mundeke Kandundao, ambaye ni mwendeshaji bodaboda, amefanyiwa upasuaji hivi karibuni baada ya kuathirika kwenye shambulizi la kombora.

BBC Swahili
Hizo ni propaganda za BBC chief. Jamaa juz wamekumbia wamekufa wa kutosha sake
 
Hivi hao M23 Wana Nguvu kiasi gani Hadi wanawazi Majeshi ya DRC na Washirika wa EAC?

Hivi DRC inajitambua kweli? Lile beat la Felix Tshisekedi kwamba ataishambulia Rwanda limeishia wapi wakati M23 Wanazidi kusogelea Mji wa Goma na maelfu ya watu kukimbia?

Hii ni aibu kubwa sana Kwa Linchi kubwa kama DRC kupelekeshwa na kanchi ka Rwanda.

==

Makabiliano DRC: Wasiwasi waikumba Goma huku kundi la M23 likipiga hatua​


Emile Bolingo hana uhakika kuhusu muda ambao yeye na wakazi wengine wa mji wa Goma, uliopo mashariki mwa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo, wataweza kustahimili hali inayowakumba.

Mji huu mkuu na ambao ni muhimu katika eneo hili, ambalo lina wakazi milioni mbili, limekatizwa kwa siku kadhaa na maeneo ya mashambani ambayo ndio panapotokea chakula kinachowalisha wakazi wake.

Hii ndio hali ya hivi karibuni ya kuzuka kwa ghasia na mapigano ambayo yamewasababisha watu zaidi ya milioni saba kuwa wakimbizi wa ndani na kuhama makazi kwa sababu ya vita vya mara kwa mara.

Waasi kutoka kundi la M23 ambalo linaongozwa na jamii ya AbaTutsi wamefunga barabara mbili kuu zinazoingia na kutoka Goma kwa upande wa Kaskazini na magharibi na kutatitza hatua za kuingiza chakula mjini humo.

‘Tunaogopa kwamba tutakabiliwa na njaa ikiwa jeshi la DRC halitakomboa hata angalau barabara moja kati ya hizo mbili kuu hivi karibuni. Unaweza kuhisi hali ya wasiwasi ilivyojaa huku…watu wameogopa sana,’ Bolingo aliiambia BBC.

Mundeke Kandundao, ambaye ni mwendeshaji bodaboda, amefanyiwa upasuaji hivi karibuni baada ya kuathirika kwenye shambulizi la kombora.

BBC Swahili
Natamani wafike "UBUNGO"...
 
War propaganda usiamini Kila kitu Cha kweny media hasa za west
ikiwa Wana maslahi na migogoro hiyo .
 
Ni suala la muda tu, hao watashughulikiwa vizuri kabisa, haina haraka, maana mabeberu yanayochota madini huko ndio wanawapa silaha hao waasi
 
Hivi hao M23 Wana Nguvu kiasi gani Hadi wanawazi Majeshi ya DRC na Washirika wa EAC?

Hivi DRC inajitambua kweli? Lile beat la Felix Tshisekedi kwamba ataishambulia Rwanda limeishia wapi wakati M23 Wanazidi kusogelea Mji wa Goma na maelfu ya watu kukimbia?

Hii ni aibu kubwa sana Kwa Linchi kubwa kama DRC kupelekeshwa na kanchi ka Rwanda.

==

Makabiliano DRC: Wasiwasi waikumba Goma huku kundi la M23 likipiga hatua​


Emile Bolingo hana uhakika kuhusu muda ambao yeye na wakazi wengine wa mji wa Goma, uliopo mashariki mwa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo, wataweza kustahimili hali inayowakumba.

Mji huu mkuu na ambao ni muhimu katika eneo hili, ambalo lina wakazi milioni mbili, limekatizwa kwa siku kadhaa na maeneo ya mashambani ambayo ndio panapotokea chakula kinachowalisha wakazi wake.

Hii ndio hali ya hivi karibuni ya kuzuka kwa ghasia na mapigano ambayo yamewasababisha watu zaidi ya milioni saba kuwa wakimbizi wa ndani na kuhama makazi kwa sababu ya vita vya mara kwa mara.

Waasi kutoka kundi la M23 ambalo linaongozwa na jamii ya AbaTutsi wamefunga barabara mbili kuu zinazoingia na kutoka Goma kwa upande wa Kaskazini na magharibi na kutatitza hatua za kuingiza chakula mjini humo.

‘Tunaogopa kwamba tutakabiliwa na njaa ikiwa jeshi la DRC halitakomboa hata angalau barabara moja kati ya hizo mbili kuu hivi karibuni. Unaweza kuhisi hali ya wasiwasi ilivyojaa huku…watu wameogopa sana,’ Bolingo aliiambia BBC.

Mundeke Kandundao, ambaye ni mwendeshaji bodaboda, amefanyiwa upasuaji hivi karibuni baada ya kuathirika kwenye shambulizi la kombora.

BBC Swahili
Rwanda imeamua kuivuruga kabisa Drc, EAC ipo kisiasa tu
 
Hivi hao M23 Wana Nguvu kiasi gani Hadi wanawazi Majeshi ya DRC na Washirika wa EAC?

Hivi DRC inajitambua kweli? Lile beat la Felix Tshisekedi kwamba ataishambulia Rwanda limeishia wapi wakati M23 Wanazidi kusogelea Mji wa Goma na maelfu ya watu kukimbia?

Hii ni aibu kubwa sana Kwa Linchi kubwa kama DRC kupelekeshwa na kanchi ka Rwanda.

==

Makabiliano DRC: Wasiwasi waikumba Goma huku kundi la M23 likipiga hatua​


Emile Bolingo hana uhakika kuhusu muda ambao yeye na wakazi wengine wa mji wa Goma, uliopo mashariki mwa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo, wataweza kustahimili hali inayowakumba.

Mji huu mkuu na ambao ni muhimu katika eneo hili, ambalo lina wakazi milioni mbili, limekatizwa kwa siku kadhaa na maeneo ya mashambani ambayo ndio panapotokea chakula kinachowalisha wakazi wake.

Hii ndio hali ya hivi karibuni ya kuzuka kwa ghasia na mapigano ambayo yamewasababisha watu zaidi ya milioni saba kuwa wakimbizi wa ndani na kuhama makazi kwa sababu ya vita vya mara kwa mara.

Waasi kutoka kundi la M23 ambalo linaongozwa na jamii ya AbaTutsi wamefunga barabara mbili kuu zinazoingia na kutoka Goma kwa upande wa Kaskazini na magharibi na kutatitza hatua za kuingiza chakula mjini humo.

‘Tunaogopa kwamba tutakabiliwa na njaa ikiwa jeshi la DRC halitakomboa hata angalau barabara moja kati ya hizo mbili kuu hivi karibuni. Unaweza kuhisi hali ya wasiwasi ilivyojaa huku…watu wameogopa sana,’ Bolingo aliiambia BBC.

Mundeke Kandundao, ambaye ni mwendeshaji bodaboda, amefanyiwa upasuaji hivi karibuni baada ya kuathirika kwenye shambulizi la kombora.

BBC Swahili
Haka Kanchi kanawapelekea moto Hadi sio poa 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C3QQBbtIj0P/?igsh=MW8zbTBldGplYjR4NA==
 
Hivi hao M23 Wana Nguvu kiasi gani Hadi wanawazi Majeshi ya DRC na Washirika wa EAC?

Hivi DRC inajitambua kweli? Lile beat la Felix Tshisekedi kwamba ataishambulia Rwanda limeishia wapi wakati M23 Wanazidi kusogelea Mji wa Goma na maelfu ya watu kukimbia?

Hii ni aibu kubwa sana Kwa Linchi kubwa kama DRC kupelekeshwa na kanchi ka Rwanda.

==

Makabiliano DRC: Wasiwasi waikumba Goma huku kundi la M23 likipiga hatua​


Emile Bolingo hana uhakika kuhusu muda ambao yeye na wakazi wengine wa mji wa Goma, uliopo mashariki mwa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo, wataweza kustahimili hali inayowakumba.

Mji huu mkuu na ambao ni muhimu katika eneo hili, ambalo lina wakazi milioni mbili, limekatizwa kwa siku kadhaa na maeneo ya mashambani ambayo ndio panapotokea chakula kinachowalisha wakazi wake.

Hii ndio hali ya hivi karibuni ya kuzuka kwa ghasia na mapigano ambayo yamewasababisha watu zaidi ya milioni saba kuwa wakimbizi wa ndani na kuhama makazi kwa sababu ya vita vya mara kwa mara.

Waasi kutoka kundi la M23 ambalo linaongozwa na jamii ya AbaTutsi wamefunga barabara mbili kuu zinazoingia na kutoka Goma kwa upande wa Kaskazini na magharibi na kutatitza hatua za kuingiza chakula mjini humo.

‘Tunaogopa kwamba tutakabiliwa na njaa ikiwa jeshi la DRC halitakomboa hata angalau barabara moja kati ya hizo mbili kuu hivi karibuni. Unaweza kuhisi hali ya wasiwasi ilivyojaa huku…watu wameogopa sana,’ Bolingo aliiambia BBC.

Mundeke Kandundao, ambaye ni mwendeshaji bodaboda, amefanyiwa upasuaji hivi karibuni baada ya kuathirika kwenye shambulizi la kombora.

BBC Swahili
Dawa kukomeshwa vita hivyo sio vita bali ni serikali kuketi na hao wanajeshi 23 na kuwatambua kama raiya halali ya goma vingevyo vita hiyo aiwezi kumalizika nchi hiyo inakuwa kama somalia yaani itakuwa na marais 2 raisi wa batusi na wakongomani m23 wakisha udhibiti mji wa goma hawataondoka hapa sababu jeshi la nchi hiyo nidhaifu limetawaliwa na rushwa
 
Athari za vita haziwezi kuepukika.

Ukweli ni kwamba M23 wanapokea kichapo tena kikali sana mpaka wameomba maongezi na serikali ya Congo, ila serikali imekataa.

Hizo nyengine ni propaganda zao tu watu wa PK.
Unaota usingizi wa mchana
 
Back
Top Bottom