Sasa hapa tunafanyaje kuhusu M23?

Sasa hapa tunafanyaje kuhusu M23?

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,884
Reaction score
6,396
M23 mambo hayawaendei vizuri. Wamepata pigo kubwa sana siku za karibuni. Wamepoteza wapiganaji 80.

Lakini wao wanasema they were observing a ceasefire,kwa hiyo wameshambuliwa bila sababu na hizo drones za jeshi la DRC.

Swali langu ni kwamba AU iko wapi?

Sasa Tshitsekedi wiki iliyopita alikuwa anasaini mkataba na Xi Jij Ping kwamba madini yote ya DRC watapewa Wachina ili wajenge infrastructure DRC. Kwa hiyo wanasubiriwa tu watu wenye tamaa waanzishe vita ya kutaka kuyapora madini ya DRC.

We are lacking in the religious spirit. Kwa sababu intellectuals wetu ukiwaambia waandike Katiba for an African government,they can do it in two weeks.

Lakini haya mambo hayawezi kufanyika with just dry intellectualism,bila kumtumaini Mungu.

Lakini AU ikishindwa kuyatanzua haya mambo ,sijui jambo gani litatokea.

Wale m 23 wanasema wao ni raia wa DRC. Anayetaka kuwafukuza DRC,basi ajitayarishe kupigana.

History is repeating itself.

Vita inataka kuanza tena kwa sababu zile zile zilizoleta vita miaka 25 iliyopita.

Halafu kulikuwa na sherehe ya UPDF( Uganda People's Defence Forces). Viongozi wa majeshi ya nchi zote za jirani walikuwepo: Kenya,Rwanda,DRC,Somalia,--- you name it,everyone was there.

Huu ni mgogoro kati ya Rwanda na DRC ambao AU imeshindishwa kuutanzua

In fact there is deafening silence from the AU.
 
Hapo ni UG, Kenya, Rwanda, Somalia VS DRC Congo, Burundi, Tanzania.

Ndoto niliyowahi kuota zamani, isitimie kwakweli.

Mungu aingilie kati, tuwe na Amani.
 
M23 mambo hayawaendei vizuri. Wamepata pigo kubwa sana siku za karibuni. Wamepoteza wapiganaji 80.

Lakini wao wanasema they were observing a ceasefire,kwa hiyo wameshambuliwa bila sababu na hizo drones za jeshi la DRC.

Swali langu ni kwamba AU iko wapi?

Sasa Tshitsekedi wiki iliyopita alikuwa anasaini mkataba na Xi Jij Ping kwamba madini yote ya DRC watapewa Wachina ili wajenge infrastructure DRC. Kwa hiyo wanasubiriwa tu watu wenye tamaa waanzishe vita ya kutaka kuyapora madini ya DRC.

We are lacking in the religious spirit. Kwa sababu intellectuals wetu ukiwaambia waandike Katiba for an African government,they can do it in two weeks.

Lakini haya mambo hayawezi kufanyika with just dry intellectualism,bila kumtumaini Mungu.

Lakini AU ikishindwa kuyatanzua haya mambo ,sijui jambo gani litatokea.

Wale m 23 wanasema wao ni raia wa DRC. Anayetaka kuwafukuza DRC,basi ajitayarishe kupigana.

History is repeating itself.

Vita inataka kuanza tena kwa sababu zile zile zilizoleta vita miaka 25 iliyopita.

Halafu kulikuwa na sherehe ya UPDF( Uganda People's Defence Forces). Viongozi wa majeshi ya nchi zote za jirani walikuwepo: Kenya,Rwanda,DRC,Somalia,--- you name it,everyone was there.

Huu ni mgogoro kati ya Rwanda na DRC ambao AU imeshindishwa kuutanzua

In fact there is deafening silence from the AU.
Kwani M23 ni mwanachama wa AU?
 
Bonge we ifuate ile script km inavyosema hao M23 watanyoosha maelezo tu
 
Kwani ujui anaewafuga m23.
Ili vita congo iishie ni kuwaita mabeberu wakawekeze congo.
Hata Wagner group wakipewa maeneo ya uwekezaji madini huwezi sikia kitu inaitwa m 23.
 
M23 mambo hayawaendei vizuri. Wamepata pigo kubwa sana siku za karibuni. Wamepoteza wapiganaji 80.

Lakini wao wanasema they were observing a ceasefire,kwa hiyo wameshambuliwa bila sababu na hizo drones za jeshi la DRC.

Swali langu ni kwamba AU iko wapi?

Sasa Tshitsekedi wiki iliyopita alikuwa anasaini mkataba na Xi Jij Ping kwamba madini yote ya DRC watapewa Wachina ili wajenge infrastructure DRC. Kwa hiyo wanasubiriwa tu watu wenye tamaa waanzishe vita ya kutaka kuyapora madini ya DRC.

We are lacking in the religious spirit. Kwa sababu intellectuals wetu ukiwaambia waandike Katiba for an African government,they can do it in two weeks.

Lakini haya mambo hayawezi kufanyika with just dry intellectualism,bila kumtumaini Mungu.

Lakini AU ikishindwa kuyatanzua haya mambo ,sijui jambo gani litatokea.

Wale m 23 wanasema wao ni raia wa DRC. Anayetaka kuwafukuza DRC,basi ajitayarishe kupigana.

History is repeating itself.

Vita inataka kuanza tena kwa sababu zile zile zilizoleta vita miaka 25 iliyopita.

Halafu kulikuwa na sherehe ya UPDF( Uganda People's Defence Forces). Viongozi wa majeshi ya nchi zote za jirani walikuwepo: Kenya,Rwanda,DRC,Somalia,--- you name it,everyone was there.

Huu ni mgogoro kati ya Rwanda na DRC ambao AU imeshindishwa kuutanzua

In fact there is deafening silence from the AU.
Hii habari iko outdated. Jeshi likiloko DRC ni la SADC likiongozwa na TPDF ya hapa kwetu Lugalo.

Jeshi lilikuwako lilikuwa la EAC chini ya uongozi wa Kenya ambalo lilishindwa miserably.

Kaa mkao wa kula Kagame lazima afurushwe this moment in time
 
Hii habari iko outdated. Jeshi likiloko DRC ni la SADC likiongozwa na TPDF ya hapa kwetu Lugalo.

Jeshi lilikuwako lilikuwa la EAC chini ya uongozi wa Kenya ambalo lilishindwa miserably.

Kaa mkao wa kula Kagame lazima afurushwe this moment in time
Mpaka bukimbilie buganda nabuko tutakwenda kumusosela masase mpaka bukimbiee sudan
 
Hii habari iko outdated. Jeshi likiloko DRC ni la SADC likiongozwa na TPDF ya hapa kwetu Lugalo.

Jeshi lilikuwako lilikuwa la EAC chini ya uongozi wa Kenya ambalo lilishindwa miserably.

Kaa mkao wa kula Kagame lazima afurushwe this moment in time
Mpaka bukimbilie buganda nabuko tutakwenda kumusosela masase mpaka bukimbiee suda
 
Back
Top Bottom