Shekizongoro
JF-Expert Member
- Dec 9, 2013
- 388
- 153
Mkuu FLASH HIDER hii nimeipata BBC "Kundi la waasi wa ADF nalo laripotiwa kutekeleza mauaji ya watu kumi na watatu mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Makundi ya waasi yanasema masaibu ya DRC yangalipo licha ya M23 kushindwa." Mkuu huko mashariki ndo walipo askari wetu, na wameshaanza kudeal FDLR, najua vipo vikundi vingi lakini hawa ADF ndio akina nani haswa?