Kama una suala lolote kuhusu wakurya hasa mapenzi, na maisha mengine kwa ujumla uliza ujibiwe hapa.
cc DEMBA.
Ni kweli kabisa!Ni kweli kuwa mwanaume aliyezaliwa na mwanamke asiyekeketwa hana heshima mbeleza wanaume wenzie?? na anajulikana kama "omona wa msaghane??"
Wanasumbuliwa na "R". Wao "L" wanatamka kama "R".je, ni kweli kuwa mkurya hata umwahidi kumpa laki moja hawezi kutamka neno KUFULI badala yake hutamka KUFURI?
Ni utamaduni wa wakurya kuwa na silaha za jadi muda wote kama ilivyo kwa wamasai.Nikweli mkienda muziki (disco) mnatabia ya kuficha rungu na panga kwenye makoti marefu ( jungle)?
Hapana! Wakurya wanawadharau wajaluo kwasababu wajaluo hawatahiriwi!Wakurya ni wachafu sana eti ndo mana wajaluo wanawadharau sana hata maji ya kunywa hawanywe kwa wakurya ingawa mnakaa sehemu moja?
Ni utamaduni tu. Bado upo!Tabia hii prominent ya kutoa kichapo kw wife imetokea wapy,and unavoona wanaume wa siku iz wakikurya bado wanayo?
Si kweli!Nikweli kwamba mnawivu kwa hawara kuliko mke?
je ni kweli mwanamke mtu mzima anaweza kumuoa mwanamke mwenzie binti mdogo. kama ni kweli naomba ufafanuzi zaidi.
Kama una suala lolote kuhusu wakurya hasa mapenzi, na maisha mengine kwa ujumla uliza ujibiwe hapa.
cc DEMBA.
Inasemekana kwamba baadhi ya koo ya wakurya wameacha kuwaoa mabinti wa kiluo kwa sababu wasababisha familia kuongea kijaluo badala ya kikurya. Taja koo za kikurya zilizomezwa na wajaluo na kwnn kikurya kisimeza kijaluo kwasababu wajaluo ni wachache?
Ndio anaweza oa kwa sababu
Huyo mama aliolewa kwa mumewe na hakubahatika kupata mtoto na mumewe
amefariki kwa hiyo yeye ana ng'ombe anaenda kuoa binti kwa niaba ya
kijana wake so yule binti atamwita mama mkwe
Kazi ya binti ni kuleta watoto kwa mama mkwe wake na watoto watatumia
jina la ukoo la mume wa yule bibi na hao watoto ni mali ya yule mama in
case binti ataondoka basi hapaswi kuondoka na watoto
Nadhani umenipata
ahsante nimeelewa, swali lingine
je ni kweli huwa mnapenda kulipiza kisasi? na mara nyingi visasi vyenu ni kumkata panga mtu aliyekukosea?
ahsante nimeelewa, swali lingine
je ni kweli huwa mnapenda kulipiza kisasi? na mara nyingi visasi vyenu ni kumkata panga mtu aliyekukosea?
Ni kweli ila ni tit for tat sio mgombane leo akuvizie kesho kama wewe huyo mkurya amekusamehe kabisa hatakufanya lolote angelitaka kukudhuru asingelihitaji kikao.
kweli!
Tatizo lenu kina Mwita Maranya mkiulizwa maswali magumu mnaanza kutembeza mapanga
Je ni kweli hakuna wakurya waliosoma?
Naskia wakurya ndo wameshikilia uchumi wa kanda ya ziwa?
Molembe, wairege ni wakurya au ni kabila linalojitegemea?