Uliza chochote kuhusu wakurya.

Uliza chochote kuhusu wakurya.

Hizo ni sub - tribes na sio clan/ koo

Abairegi, abatimbalu, abanyabasi, abakira, abangorimi, abakenye, abasimbiti. Nk Sub tribes zipo nyingi

Wakuria kujuana koo ni ngumu sana sababu majina yanafanana sana tofauti na wanyakyusa au wachagga ukisikia mwambungu unajua mnyaki wa rungwe sio wa wakurya Mwita ni jina la first born ila sometimes Mwita inatumika kama Sirname

Vipi kuhusu wazanaki, je nao ni wakurya?
 
Kwa nini mna makovu sana ya visu na mapanga?
Kichuri ni mchanganyiko wa nini na nini?

Je hakuna kabila linatoitwa wakurya kwa sababu ninyi kila ukoo una lugha yake? Mfano wanaoishi pale Ikoma wanaitwa 'waikoma', wanaoishi pale isenye wanaitwa 'waisenye' na kuendelea hivyo kwa kila kijiji na kufanya neno mkurya kuwa useless ukiw huko
 
Natafuta totoz nyeusi nyenye hips kisela ya kikuryaa...naskia ni watiifu sana....
 
Natafuta totoz nyeusi nyenye hips kisela ya kikuryaa...naskia ni watiifu sana....
 
mwanamke akisafiri kwenda sehemu kwa miezi mitatu au zaidi,akirudi anamkuta mme wake kaoa?

mmh ... mpaka mkurya amruhusu mke wake akae mbali kwa miezi hiyo! sijui kama itawezekana!

ile jamii ukishaolewa, sharti kuwa na mumeo karibu! hata kama mko ama kikosi cha arsenal!
 
Kama una suala lolote kuhusu wakurya hasa mapenzi, na maisha mengine kwa ujumla uliza ujibiwe hapa.
cc DEMBA.

Nasikia mtoto Wa kiume shurti wazazi wako wakuolee Mke kule kwa village ata kama utaoa your choice yeye atabaki kwa wazazi wako na kwamba hiyo ni mila kama jando?
 
Last edited by a moderator:
Nasikia mtoto Wa kiume shurti wazazi wako wakuolee Mke kule kwa village ata kama utaoa your choice yeye atabaki kwa wazazi wako na kwamba hiyo ni mila kama jando?

ilikuwa zamani sio siku hizi.
 
eti nasikia wakurya ni malimbukeni saana yaan wakifanikiwa ni watu wa show off fulan iv.
 
Hebu toa mfano kwanza! Show off inaweza fanywa na mtu yeyote yule!
eti nasikia wakurya ni malimbukeni saana yaan wakifanikiwa ni watu wa show off fulan iv.
 
Hebu toa mfano kwanza! Show off inaweza fanywa na mtu yeyote yule!

majigambo fulani ivi.......

yaan akiwa sehemu lazima ujue na kujionyesha ana hela, utasikia fanyeni tuu kitu fulani nitalipia au kwenye ishuuz zozote zile atasema any deficity nitaicover ivyo yaan .....upo?
 
Sikiliza nikwambie nanii, nani.. Eeer, unaitwa nani vile !?
Sample uliyoitumia haikuwa sahihi!

Uliyemdhania ndiye, kumbe.....!

Sifa pekee aliyojaliwa mkurya kwanza ni mkarimu endapo utakuwa mstaraabu na mwenye nidhamu!

Sifa nyingine ni hasira!

Hasira za mkurya ni mdomo na ulimi, na ili zitulie, lazima atende! Labda tu itokee incident akusamehe!

Mambo ya majigambo, waachie akina nshomile (au sio Ruttashobolwa? Nimeishi sana kahororo kwa akina KOKUTONA, nawafahamu sana wahaya, kila jumapili.... Bukoba inahamia beach bana! Teh teh)

majigambo fulani ivi.......

yaan akiwa sehemu lazima ujue na kujionyesha ana hela, utasikia fanyeni tuu kitu fulani nitalipia au kwenye ishuuz zozote zile atasema any deficity nitaicover ivyo yaan .....upo?
 
Last edited by a moderator:
WALIMWEUSI,

suala la kuchaguliwa mke kwa sasa limedidimizwa na elimu ambayo vijana wa kikurya wanazidi kuipata!

Kinachoendelea sasa ni kwamba,
unachagua binti mwenyewe (kama ni kutokea maeneo ya kule kule) then wazazi wanafanya assessment ya ukoo mzima wa binti anakotoka (nadhani unafahamu factor zitakazo angaliwa, ikiwemo tabia kiujumla za familia ile atokayo binti na maisha yao ya kila siku). Baada ya hapo, wakiridhishwa na factor zao, unawezaa kuoa ama kutooa pia!

Kwa wale walioko vijijini ambao elimu hawakufanikiwa kupata, japo ni haki yao, kwao hawana njia nyingine, bali kuchaguliwa mke tu, japo na wenyewe pia hupeleka proposal zao za mabinti wanaowapenda na kufanyiwa assessment!

Goodmorning this afternoon!
Nasikia mtoto Wa kiume shurti wazazi wako wakuolee Mke kule kwa village ata kama utaoa your choice yeye atabaki kwa wazazi wako na kwamba hiyo ni mila kama jando?
 
Last edited by a moderator:
Suala la kupigwa kwa mtoto wa kikurya ni cultural phenomena. Research ndogo niliyoifanya kwa wa-bibi wengi, wanadai kwamba 'mwanaume mkali, anaongeza ulinzi kwenye mji wake'
(ikumbukwe kuwa wakurya wengi ni wafugaji, hivyo kuna tabia ya kuibiana ng'ombe sana maeneo ya kule!)

sasa tunapokuja kwenye suala la kupigwa, utamaduni huu umewekwa na mabibi zetu wenyewe! Ninaposema hivi namaanisha kwamba, wao walikuwa wakiweka migomo baridi ya makusudi tu ili 'kutingisha kiberiti' na kuona condition ya mumewe ikoje!

Endapo mumewe ata-react na kumchapa hata fimbo mbili hivi, basi kesho yake mwanamama huwa na nidhamu ya hali ya juu mno!

Goodmorning this afternoon!
kwanin wanpend kuwapiga wake zaoo et asipokupg it means hakupnd
 
Kama una suala lolote kuhusu wakurya hasa mapenzi, na maisha mengine kwa ujumla uliza ujibiwe hapa.
cc DEMBA.

Nimecikia jinsia yenu ya me inapenda sana umbeya,, je ni kweli?
 
Last edited by a moderator:
Ngoja niwahabarishe why tunawatandika wake zetu,kwa asili wakurya ni majasiri sana awe mwanamke au mwanaume,na jambo lingine ni wababe,mwanamke Wa kikurya ni sawa na mwanaume kwa asili,so ndani ya ndoa usipokua mbabe mwanamke atakukalia kichwani utabakia kuchekwa na wenzako.
Fanya utafiti wanawake Wa kikurya walioolewa na wanaume kabila zingine wao ndo wasemaji ndani ya nyumba coz jasiri haachi asili,ukibahatika kuoa Binti Wa kikurya jiandae.
 
Back
Top Bottom