Uliza chochote kuhusu wakurya.

Uliza chochote kuhusu wakurya.

Molembe

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2012
Posts
9,932
Reaction score
11,851
Kama una suala lolote kuhusu wakurya hasa mapenzi, na maisha mengine kwa ujumla uliza ujibiwe hapa.
cc DEMBA.
 
Last edited by a moderator:
mwanamke akisafiri kwenda sehemu kwa miezi mitatu au zaidi,akirudi anamkuta mme wake kaoa?
 
Mwanamke asipopigwa na mumewe anahisi hapendwi?
 
Ni kweli kuwa mwanaume aliyezaliwa na mwanamke asiyekeketwa hana heshima mbeleza wanaume wenzie?? na anajulikana kama "omona wa msaghane??"
 
Kama una suala lolote kuhusu wakurya hasa mapenzi, na maisha mengine kwa ujumla uliza ujibiwe hapa.
cc DEMBA.
huwa mnapenda sana kulamba sana ugolo ka wamasai..
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli kuwa mwanaume aliyezaliwa na mwanamke asiyekeketwa hana heshima mbeleza wanaume wenzie?? na anajulikana kama "omona wa msaghane??"

sio kweli anadharaulika ambae hajatahiriwa.
 
je, ni kweli kuwa mkurya hata umwahidi kumpa laki moja hawezi kutamka neno KUFULI badala yake hutamka KUFURI?
 
Kwanini nyie mnauza mayai? Kuku walinza kwenu?
 
Nikweli kwamba mnawivu kwa hawara kuliko mke?
 
Tabia hii prominent ya kutoa kichapo kw wife imetokea wapy,and unavoona wanaume wa siku iz wakikurya bado wanayo?
 
Nikweli mkienda muziki (disco) mnatabia ya kuficha rungu na panga kwenye makoti marefu ( jungle)?
 
Back
Top Bottom