Ulitoboa maisha ukiwa na umri gani?

Ulitoboa maisha ukiwa na umri gani?

Mm nina 47 tayari nimetoboa maisha.

Ninaendesha bodaboda, nalisha familia yangu na nalipa kodi ya pango kwa wakati.

Hapo sijatoboa maisha ndugu zangu?
Sexless
Kwann unageuka geuka sana.....!!!!
Mara Mwanaume...!!!Mara Mwanamke

Dah

Kweli ww umetoboa kila kitu
 
Wengine program na malengo yetu tulishayapanga miaka 15 iliyopita na ndoto yakaribia tuliweka malengo mpaka ifikapo 2022 umaskini byee.Siku njema huonekana usiku na siyo asubuhi.
Dah haya bwana...hongera sana
 
Wewe ushatoboa nini mtoto mzuri?
Ah mpka nilipo si haba mkuu nashukuru mungu asieee hyo stage wanayo iangaikia watu ya kula kulala na kuvaa me nisha ivuka aisee niko stage nyingine kbaaa
 
Dah haya bwana...hongera sana

Ahsante. Ni kuwa na makusudio tu malengo yanatimia.Kama nina uwezo wa kupata moja basi nina uhakika nina uwezo wa kupata mia kwa sababu nilishakuwa na nia toka hapo kitambo.usipotimiza ndoto zako utaajiriwa utimize ndoto za wengine.
 
Ahsante. Ni kuwa na makusudio tu malengo yanatimia.Kama nina uwezo wa kupata moja basi nina uhakika nina uwezo wa kupata mia kwa sababu nilishakuwa na nia toka hapo kitambo.usipotimiza ndoto zako utaajiriwa utimize ndoto za wengine.
Haya ngoja nianze kusave mia mia
 
Back
Top Bottom