Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 26,091
- 68,365
Nani ampokee? 🤣Bora kama akirudi😍
Nadhani hukufanya makosa tena alivyorudi
Sipashagi makabichi
Nani ampokee? 🤣Bora kama akirudi😍
Nadhani hukufanya makosa tena alivyorudi
🤣🤣🤣🤣🤣Nani ampokee? 🤣
Sipashagi makabichi
Ni aibu aiseh 😂😂😂Sometimes unaachwa na baby wako kwa sababu ambazo sio za msingi mpaka unahisi tu hapa nimetafutiwa sababu ,,,,
FUNGUKA kama yamewahi kukukuta (uliambiwaje)
Principle yangu kwenye mapenzi.🤣🤣🤣🤣🤣
Kijana kumbe una ujeuri hivyo.
Kwanini lakini
Msimamo ndio kila kitu kwenye maishaPrinciple yangu kwenye mapenzi.
Niliyempenda sana alafu akaniumiza kwa kuniacha hana nafasi tena.
Upo sahihi kabisa, mtu uliempenda sana ana nguvu juu yako.Msimamo ndio kila kitu kwenye maisha
Bila hivyo watu watakutumia tu ovyo wanavyojisikia
Mapenzi usiruhusu yakupelekeshe😂Upo sahihi kabisa, mtu uliempenda sana ana nguvu juu yako.
Ila mapenzi ni konyoo 🙌
Kamwe kama yaliwahi ni kipindi hicho ila sasa nnayapelekesha mapenzi ntakavyo. Nimekua sugu sijuiMapenzi usiruhusu yakupelekeshe😂
Ila huu ni ubabe sasa..Aliniomba nimwazime hela akiahidi kurudisha ndani ya week moja. Kisha nikaja kumkumbusha akasema me siyo mstaarabu namdai vibaya Sina huruma na utu.
Alinambia akilala kifuani kwangu anasikia wanawake wanacheka
Shukrani sanaPole sana ndio mapenzi yalivyo
Imalizie vizuri sasa mkuu 😁😁😁Habari za humu?
Leo nimeona tupeane sababu zianzofanya wapenzi kuachwa na wapenzi wao,yaani kiufupi tujadili au kushare uzoefu wa vitu vinavyopelekea mtu kuachwa na mpenzi wake ili kujitahidi kuepukana navyo ili mahusiano yaendelee kudumu.
Nakumbuka miaka kadhaa iliyopita aliyekuwa mpenzi wangu alinipigia simu mida ya jioni wakati mimi nikiwa chuo na yeye nimemuacha yuko mtaani kwenye mishe za hapa na pale.
Tulizungumza mambo mengi ikiwa ni pamoja na mipango kuhusu namna tutakavyoijenga familia yetu baada ya kuoana ambapo mambo ya kujenga familia tulikuwa tukiyajadili mara kwa mara iwe kwenye simu au tukiwa wote wawili pamoja.
Basi bwana siku hiyo yule demu baada ya mazungumzo hayo na mengine mengi alianza kuniuliza maswali ambayo binafsi nilidhani ni ya kutaka kujua tu muelekeo wa mapenzi yetu baada ya mimi kuhitimu chuo na kurudi kuwa pamoja na yeye.
Aliniuliza hivi "chuo unamaliza lini?" nami nikamjibu vuzuri tu japo nilikuwa nishamwambia kila kitu. Baada ya swali hilo akaja na swali lingine "kwahiyo baada ya kumaliza utaajiliwa baada ya muda gani?" nami pia bila kujiuliza mantiki ya maswali yake ni yapi nikamwambia kwamba kutokana na uhaba wa ajira kwa miaka hii ni kuomba Mungu isipite miaka mitano bila kuajiriwa. Nikaongeza kwa kumtia moyo kwamba hata bila ajira,mimi sitakaa kuzisubiri na hivyo lazima nitapambana kwa namna yoyote ile ili maisha yetu yaendelee. Baada ya hapo akakata simu na kunitumia meseji iliyosomeka "kuanzia leo ufute namba yangu kwenye simu yako na usinitafute nina mpenzi wangu ambae tunapendana". Being honest,sikuamini yale maneno nikaamua kumpigia kwa kudhani huwenda alikuwa anachati na mtu mwingine kwahyo amekosea lakini simu haikupokelewa na badala yake aliishia kukata tu mpaka mara tano ndipo nikaamini ujumbe ule ulinilenga mimi moja kwa moja.
Asikwambie mtu mapenzi yanauma ase hasa inapotokea wewe ndyo unaachwa na bila sababu ya msingi au pengine kwa kuongea ukweli kwa mpanzi wako.
InaendeleaImalizie vizuri sasa mkuu 😁😁😁