Ulitafutiwa makosa gani ndio ukaachwa?

Ulitafutiwa makosa gani ndio ukaachwa?

Half american Extrovert Gily Depal Analyse si mje mseme mliachwaje 😀😀😀😀
Amehlo unataka nitonesha kidonda sio 😒
Nilimwambia nimepata msiba naenda mkoani kuzika akaniambia unaenda una mambo yako, nikiwa njiani iliingia sms leo ndio mwisho wa penzi letu ukimaliza kuzika ujue umezika na penzi lako 💔. So nilipoteza watu wawili niliokua nawapenda at once.
 
Nililia na makamasi kama mtoto mdogo. Akaniletea zawadi ya keki za bakhresa wakati nakula akawa ananipiga piga mgongoni mbele hivi kuna kioo najiona. Hapo akili zikarudi nikajiona kumbe kuna mda unaweza kuwa msukule huru wa kifungo cha nje😄 Nikamuomba sasa tumerudiana inabidi tufanye threesome ili aniache. Mwenzangu akakubali tena akadai kuna mshikaji alisoma nae chuo. Mpumbavu sana yule dada kwenye threesome hakuwezi kuwa na abdala kichwa wazi na dullah kichwa wazi kwa pamoja😄 nikampiga chini


ana watoto watatu sasa mara ya mwisho nilipishana nae chocho ana kitumbo anatema mate tu akaniomba hela akanunue embe nikamjibu unataka "maembe msimu wa machungwa" akapita vile na mimi nikapita kule. Alifikiri nimesahau🤣

Hawa Analyse Half american Extrovert wanadai hawajawah kuachwa.
Nshaachwa ila wanarudi
 
Amehlo unataka nitonesha kidonda sio 😒
Nilimwambia nimepata msiba naenda mkoani kuzika akaniambia unaenda una mambo yako, nikiwa njiani iliingia sms leo ndio mwisho wa penzi letu ukimaliza kuzika ujue umezika na penzi lako 💔. So nilipoteza watu wawili niliokua nawapenda at once.
Poleee😀😀😀😀 inauma
 
Amehlo unataka nitonesha kidonda sio 😒
Nilimwambia nimepata msiba naenda mkoani kuzika akaniambia unaenda una mambo yako, nikiwa njiani iliingia sms leo ndio mwisho wa penzi letu ukimaliza kuzika ujue umezika na penzi lako 💔. So nilipoteza watu wawili niliokua nawapenda at once.
Pole sana😂
 
Kuna sababu zingine zinachekeshaga sana. [emoji28][emoji28][emoji28]

Hivi mapenzi na chenyewe ni kitu kinahitaji mapumziko kweli? Kwan sisi ni wazungu? Siunichane tu kama umepata d*ck nyingine?

Popote alipo, atafunzwa na Dunia [emoji28][emoji28]
..daaah! ..niliambiwa hii statement " I need a break" ...kumbe ukute tayari kuna mwamba alikuwa anamshughulikia huko ...though kwa kweli I was in a dire&low situation muda huo ..nikajionea eeeh isiwe shida you need a break have it .
 
Anapiga kimya, napiga kimya...napiga kimya nae anazidi kupiga kimya na hadithi inaishia hapo.
 
Back
Top Bottom